• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Uvuvi

SEKTA YA UVUVI

Sekta ya uvuvi  ina mchango mkubwa kwa wananchi wa Mkoa wa Rukwa katika kuwapatia  lishe bora, ajira na kipato kwa mwananchi mmoja mmoja na  hivyo kuchangia kuondoa umasikini na kukuza  pato la Taifa.

Shughuli za uvuvi katika Mkoa hufanyika katika Maziwa mawili makubwa  ambayo  ni  Ziwa Tanganyika na Ziwa Rukwa  na  kwa kiasi kidogo katika mabwawa mawili ya asili ambayo ni  Kwela (Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga) na Sundu (Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo).  Kadhalika shughuli  hizi  za Uvuvi  hufanyika  katika mito na mabwawa yanayochimbwa  na  wananchi katika  maeneo  mbalimbali ya Mkoa.

Katika kipindi cha mwaka 2017/2018  jumla ya tani  2,008 za  samaki zenye thamani ya shilingi  bilioni 9.8   zilivunwa na kusafirishwa ndani na nje ya Mkoa wetu. Fedha hizi ni mapato ya wavuvi wetu kwenye masoko mbalimbali.

Mikakati ya kuendeleza sekta ya Uvuvi

Ili kukabiliana na Changamoto za sekta ya Uvuvi Mkoa unaendelea kushauri na kuhimiza Halmashauri kutekeleza mikakati ifuatayo:

  • Kuajiri wataalamu wa Uvuvi, angalau kuwa na Maafisa ugani  kwa kila Kata yenye mwalo.
  • Kutekeleze agizo la OR-TAMISEMI la kutenga  fedha 5% ya mapato yatokanayo na Uvuvi kwa ajili kuwezesha kudhibiti Uvuvi haramu katika Maeneo yao na kuendelea  kutoa elimu ya uvuvi endelevu
  •  Kuwezesha mazingira bora ya uundwaji wa BMUs na usajili wake na kufanya BMUs zilizopo kufanya kazi kikamilifu kwa mujibu wa Sheria na Kanuni za Uvuvi.
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi kuweka  miundombinu ya choo cha umma katika soko la samaki la Korongwe ili soko hilo liweze kutumika kwa malengo yaliyokusudiwa.
  • Kuendelea kuvutia wawekezaji  ili wajenge viwanda vya kuchakata mazao  ya uvuvi ili kuyaongezea thamani,
  • Kuendeleza ufugaji wa samaki katika Mabwawa na katika vizimba ili kuongeza mazao ya Uvuvi na kupunguza utegemezi mkubwa katika maziwa yetu.
  • Kuhamasisha sekta binafsi kuwekeza katika maduka na zana halali, bora na za kisasa za uvuvi

Matangazo

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2019 - Rukwa October 17, 2019
  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2021, Mkoa wa Rukwa December 18, 2020
  • Fomu za Kujiunga na Shule mbalimbali za Sekondari (JOINING INSTRUCTION) kwa Mwaka 2021 mkoani Rukwa. December 20, 2020
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi wasisitizwa kuitumia wiki ya sheria kama fursa ya mafunzo ya bure ya sheria.

    January 24, 2021
  • MABARAZA YA ARDHI YATAJWA KUWA CHANZO CHA MIGOGORO

    January 23, 2021
  • Kamati ya Amani Rukwa yamuomba RC kufikisha salamu zao kwa Rais Magufuli.

    January 22, 2021
  • Kijiji kitakachokaribisha “Lambalamba” Kuwekwa chini ya Ulinzi

    January 21, 2021
  • Angalia Zote

Video

Mwaka 2020 kuwa mwaka wa kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili Mkoani Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0756941328

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa