• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Uchumi na Uzalishaji

Seksheniya Uchumi na Uzalishaji ina lengo la kutoa uwezeshaji wa kitaalamu kuhusu sektaza uchumi na uzalishaji kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa katika Mkoa. Sekshenihii inaongozwa na Katibu Tawala Msaidizi ambaye anawajibika kwa Katibu Tawalawa Mkoa


Majukumu ya Seksheni yaUchumi na Uzalishaji

  • Kuratibuutekelezaji wa sera za Kilimo, Mifugo, Ushirika, Misitu, Uhifadhi, Uvuvi,Viwanda, Biashara na Masoko katika Mkoa
  • Kuzijengeauwezo Mamlaka za Serikali za Mitaa katika Mkoa katika kutoa huduma kwenyenyanja za Kilimo, Mifugo, Ushirika, Misitu, Uhifadhi, Uvuvi, Viwanda, Biasharana Masoko
  • Kuzisaidiana kuzishauri Mamlaka za Serikali za Mitaa juu ya teknolojia zinazofaa na zagharama nafuu katika sekta za uchumi na uzalishaji
  • Kusajilivyama/vikundi vya ushirika katika Mkoa
  • KuzishauriMamlaka za Serikali za Mitaa katika juu ya uanzishaji/uimarishaji na ukaguzi wavyama vya Ushirika na Akiba na Mikopo
  • Kusaidiana kuzishauri Mamlaka za Serikali za Mitaa juu ya kuzisimamia kampuni ndogo naza kati
  • Kuzisaidiana kuzishauri Mamlaka za Serikali za Mitaa katika kutambua maeneo nyeti yauwekezaji
  • Kuzisaidiana kuzishauri Mamlaka za Serikali za Mitaa katika kuendeleza na kukuza sekta yauvuvi na kuzalisha kisasa
  • Kusimamia,kuratibu na kuwezesha masuala yanayohusiana na misitu katika Mkoa
  • KuzishauriMamlaka za Serikali za Mitaa katika usimamizi wa sheria za kulinda wanyamapori
  • KuzishauriMamlaka za Serikali za Mitaa katika kuendeleza maeneo ya wanyamapori
  • KuzishauriMamlaka za Serikali za Mitaa katika kusimamia utalii, idadi ya wanyamapori namienendo yao/safari zao
  • KuziwezeshaMamlaka za Serikali za Mitaa katika kutekeleza sheria ya Mazingira.
  • Kutoaujuzi wa kitaalamu kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa kwenye masualayanayohusiana na maeneo/miradi ya umwagiliaji
  • Kuratibuutekelezaji wa uboreshaji wa taratibu za biashara katika Mkoa

Matangazo

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2019 - Rukwa October 17, 2019
  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2021, Mkoa wa Rukwa December 18, 2020
  • Fomu za Kujiunga na Shule mbalimbali za Sekondari (JOINING INSTRUCTION) kwa Mwaka 2021 mkoani Rukwa. December 20, 2020
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi wasisitizwa kuitumia wiki ya sheria kama fursa ya mafunzo ya bure ya sheria.

    January 24, 2021
  • MABARAZA YA ARDHI YATAJWA KUWA CHANZO CHA MIGOGORO

    January 23, 2021
  • Kamati ya Amani Rukwa yamuomba RC kufikisha salamu zao kwa Rais Magufuli.

    January 22, 2021
  • Kijiji kitakachokaribisha “Lambalamba” Kuwekwa chini ya Ulinzi

    January 21, 2021
  • Angalia Zote

Video

Mwaka 2020 kuwa mwaka wa kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili Mkoani Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0756941328

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa