• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Manispaa ya Sumbawanga imetakiwa kufikiria kuwa na kiwanda cha viatu.

imewekwa Tar: December 14th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameishauri Halmashauri ya manispaa ya Sumbawanga kuanza kufikiria kuwa na kiwanda cha viatu vya Ngozi ili kupunguza idadi ya viwanda 25 vipya walivyoagizwa kuwa navyo hadi kufikia Disemba 2018.

Mh. Wangabo ametoa ushauri huo baada ya kutembelea machinjio ya manispaa hiyo na kuona mzigo wa Ngozi za ng’ombe ukiwa umekosa soko na kuongeza kuwa soko la Ngozi hizo litaopatikana pale tu kiwanda kitakapooanza kufanya kazi na kuhakikisha wanashirikiana na shule kwaajili ya soko la viatu hivyo.

“Ngozi tunayo ndiyo malighafi, kiwanda kikowapi ili hii malighafi itumike, tuweke nguvu kubwa hapa kuanzisha kiwanda, Manispaa mna viwanda 25 mnatakiwa kuvianzisha hadi kufikia Disemba 2018, ikiwezekana mshirikiane na SIDO na wale wote wenye viwanda vidogo vinavyotumia malighafi ya Ngozi muwawezeshe ili tuweze kupanuka,” Alifafanua.

Machinjio hayo ambayo tangu mwezi July hadi Novemba 2017 wamechinja ng’ombe 3,807, mbuzi 1,211 na kondoo 98 na kuzalisha Ngozi zaidi ya 10,000 katika miezi 6 jambo linalowawezesha kuanzisha kiwanda kidogo kinakachopunguza idadi ya viwanda 25 walivyotakiwa kuanzisha kabla ya Disemba, 2018.

Nae Nae Afisa mifugo wa Manispaa ya Sumbawanga Nziku amesema kuwa machinjio hiyo ina uwezo wa kuchinja ng’ombe 50 na mbuzi na kondoo 10 kwa wakati mmoja lakini kwasasa inachinja ng’ombe 25 -30 na mbuzi na kondoo 5 – 10 kwa siku.

Matangazo

  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2021, Mkoa wa Rukwa December 18, 2020
  • Fomu za Kujiunga na Shule mbalimbali za Sekondari (JOINING INSTRUCTION) kwa Mwaka 2021 mkoani Rukwa. December 20, 2020
  • UTARATIBU WA UOMBAJI WA VITAMBULISHO VYA UJASILIAMALI March 24, 2021
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Serikali ipo inafanya kazi vizuri na itaendelea kuwepo, muhimu kudumisha amani – RC Wangabo

    April 05, 2021
  • Wananchi watakiwa kuacha kulalamika na badala yake waisaidie serikali ili kuijenga nchi.

    March 07, 2021
  • RC Wangabo atoa elimu ya kujikinga na majanga huku nyumba Zaidi ya 80 zikiezuliwa na upepo

    March 06, 2021
  • Mpango wa Mji wa Sumbawanga Kupata maji kutoka Ziwa Tanganyika unakaribia.

    March 02, 2021
  • Angalia Zote

Video

Mwaka 2020 kuwa mwaka wa kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili Mkoani Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0756941328

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa