• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RAS Rukwa awatakata wakuu wa Idara waongeze kasi katika utendaji wao wa kazi

imewekwa Tar: September 6th, 2017

Katibu tawala wa Mkoa wa Rukwa Bernard Makali amewatawaka wakuu wa idara za ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa kuongeza kasi katika utendaji wao wa kazi za kila siku ili kukamilisha kazi wanazoagizwa kwa wakati na kuziwasilisha taarifa kwa wakati.

Aliyasema hayo alipokuwa akifungua kikao cha mafunzo ya kiongozi cha utaratibu wa mafunzo elekezi ya awali kwa watumishi wapya wa Sekretarieti za mikoa na mamalaka za serikali za mitaa yanayoendeshwa kwa ushirikiano wa Ofisi ya Rais – Tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) na mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)

“Wakuu wa Idara wanatakiwa wawe makini katika semina hii ya siku moja, wazingatie haya wanayofundishwa ili wawe msaada kwa watumishi wapya serikalini lakini pia watumishi waliopo kwenye idara zenu, hiki mnachokipata hapa kiwe na faida kwa wote kisibaki kwenye makabrasha yenu tu,”Alisema.

Mafunzo hayo ambayo yanajumuisha wakuu wa idara ni maalum kwaajili ya kuwaongezea uelewa wakuu hao ili kuimarisha utendaji kazi wao pamoja na watu wanaowaongoza kwenye idara zao ili kuwa na utendaji mzuri unaozingatia maadili katika kazi.

Lakini pia alipongeza mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) kwa kutoa mafunzo hayo hasa kwa wakati huu ambapo serikali inaendelea kuajiri na kupata watumishi wapya ambao watafaidika na uelewa wa wakuu hao wa idara na kuwafundisha watumishi hao.

Matangazo

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2019 - Rukwa October 17, 2019
  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2021, Mkoa wa Rukwa December 18, 2020
  • Fomu za Kujiunga na Shule mbalimbali za Sekondari (JOINING INSTRUCTION) kwa Mwaka 2021 mkoani Rukwa. December 20, 2020
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Waomba Daraja la muda baada ya watu wanne kuzama mtoni

    February 27, 2021
  • Wananchi walazimika kuzunguka Zaidi ya Km 30 kufuata huduma kwa kukosa barabara ya km 7.3.

    February 26, 2021
  • Helium Yaibuka Kikao cha Bodi ya Barabara na kuibua gumzo.

    February 25, 2021
  • Waliokula Shilingi Milioni 932 za Halmashauri kufikishwa mahakamani.

    February 24, 2021
  • Angalia Zote

Video

Mwaka 2020 kuwa mwaka wa kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili Mkoani Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0756941328

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa