• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo asikitishwa na mahudhurio ya wakurugenzi kwenye vikao muhimu

imewekwa Tar: November 19th, 2018

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amesikitishwa na kitendo cha wakurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga kutohudhuria katika kikao muhimu cha mpango mkakati wa kuhakikisha mkoa wa Rukwa unaepukana na udumavu.

Amesema kuwa suala la udumavu katika mkoa ni jambo la kupewa kipaumbele kutokana na mkoa huo kuwa kinara katika udumavu kwa asilimia 56 huku kitaifa ikiwa ni aslimia 34 na kuongeza kuwa kitendo cha wakurugenzi hao kupuuzia jambo hilo kwa kutokuhudhuria wanaonesha namna ambayo wanarudisha nyuma juhudi za mkoa katika kuhakikisha wanapunguza udumavu mkoani humo.

“Vikao hatupo, mipango mingi, utendaji sifuri, mimi sio mtu wa kuzungumza sana, mi nataka kuona vitu vikienda, lakini kwa mwendo huu ambao ninauona hapa napoteza nguvu nyingi sana kwa matokeo sifuri, tangu jana nilikuwa napigana kuomba takwimu sijapewa labda watazisoma hapa kwamba mmekusanya kiasi gani dhidi ya kile ambacho kilipangwa mwaka jana na sasa tunaendelea kupanga hicho hicho ambacho tulikipanga huko nyuma, vikao hatupo mnatuma tu watu, sasa naona mkwamo kabla ya hata kupanga.” Alisisitiza

Alitoa kauli hiyo wakati alipokuwa akifungua kikao mpango wa lishe wa mkoa kilichowajumuisha wajumbe wa kamati ya lishe wa Mkoa pamoja na wajumbe wa kamati hiyo katika ngazi ya halmashauri ya Weilaya ya Sumbawanga na halmashauri ya manispaa ya sumbawanga.

Katika mwaka wa fedha 2017/2018 kila halmashauri ilitakiwa kutenga shilingi 1000/= kwa watoto chini ya miaka mitano ambao wapo zaidi ya 240,000 katika mkoa na hivyo kutakiwa kukusanya zaidi ya shilingi milioni 240 lakini hakuna hata halmashauri moja iliyoweza kufikia lengo la makusanyo hayo na kuzifikisha fedha hizo kwa wahusika.

Matangazo

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2019 - Rukwa October 17, 2019
  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2021, Mkoa wa Rukwa December 18, 2020
  • Fomu za Kujiunga na Shule mbalimbali za Sekondari (JOINING INSTRUCTION) kwa Mwaka 2021 mkoani Rukwa. December 20, 2020
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Waomba Daraja la muda baada ya watu wanne kuzama mtoni

    February 27, 2021
  • Wananchi walazimika kuzunguka Zaidi ya Km 30 kufuata huduma kwa kukosa barabara ya km 7.3.

    February 26, 2021
  • Helium Yaibuka Kikao cha Bodi ya Barabara na kuibua gumzo.

    February 25, 2021
  • Waliokula Shilingi Milioni 932 za Halmashauri kufikishwa mahakamani.

    February 24, 2021
  • Angalia Zote

Video

Mwaka 2020 kuwa mwaka wa kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili Mkoani Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0756941328

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa