• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo atoa pongezi kwa walimu wakuu Manispaa ya Sumbawanga

imewekwa Tar: February 24th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewapongeza walimu wakuu wa shule za msingi zilizopo manispaa ya Sumbawanga kwa kufaulisha kwa asilimia 84 katika matokeo ya darasa la saba kwa mwaka 2017.

Amesema kuwa kwa kufanya hivyo wameteeleza Ilani ya Chama cha CCM ambayo ndio inayoongoza serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Uongozi wa Rais Dk. John Pombe Magufuli, ilani hiyo inaeleza ufaulu wa zaidi ya asilimia 80 kwa shule za msingi ili kuweza uwakomboa wananchi.

Mbali na hayo Mh. Wangabo aliwasisitiza walimu kuwa wanamchango mkubwa katika ufaulu wa mwananfunzi huku wao wakiwa kama “software” na miundombinu kama madawati, majengo na vitabu ikuchukua nafasi katika kukamilisha asilimia 100 za ufaulu wa mwanafunzi.

“Mchango wa walimu katika kumfanya mtoto afaulu ni asilimia 55 na asilimia 45 ni miundombinu kama vitabu, majengo na madawati, walimu mkifanya kazi vizuri na wathibiti ubora wa elimu ambao kwa pamoja ni kama “software” basi elimu itakuwa bora sana,”

Amesema hayo alipokuwa akiongea na walimu wakuu kutoka katika shule za msingi 67 za serikali na binafsi waliokutana kwaajili ya kujadili namna ya kuboresha ufaulu katika Manispaa ya Sumbawanga, Halmashauri ambayo inabeba sura ya Mkoa.

Katika kusisitiza uwajibikaji kwa walimu hao wakuu Mh. Wangabo amewataka kutojihusisha na michango ya aina yoyote na kuwa mwenye dhamana ya kuchangisha ni Mkurugenzi wa Halmashauri kwa mujibu wa miongozo iliyopo.

Jumbe Is haq ni Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Istiqaama amepongeza juhudi za serikali katika kuhakikisha wananfunzi wanakuwa na mazingira mazuri ya kujifunzia na kumuomba Mh. Wanagabo kufanya kikao rasmi na walimu wote ili kujua changamoto za walimu hao na kuona namna ya kuzitatua.

Matangazo

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2019 - Rukwa October 17, 2019
  • Waliochaguliwa kujiunga Kidato cha Kwanza Mkoa wa Rukwa 2018 January 05, 2018
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Kikao cha Road Board Mkoani Rukwa October 08, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wagombea 1,851 wa vyama vya upinzani kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa Mkoani Rukwa.

    November 23, 2019
  • Agizo la Rais Dkt. John Pombe Magufuli latekelezwa kwa asilimia 100 Sumbawanga

    November 21, 2019
  • Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda awataka watumishi Rukwa kupambana na udumavu.

    November 20, 2019
  • Jaji Mkuu awaagiza viongozi wa Mahakama kusimamia usajili wa kesi mitandaoni

    November 14, 2019
  • Angalia Zote

Video

Kisa Kamili cha Mama Mjamzito Kujijeruhi tumboni chafafanuliwa na RMO Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0756941328

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa