• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo ayaomba mashirika binafsi kuwawezesha Wafungwa wanaoachiwa kwa msamaha.

imewekwa Tar: May 24th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameyaomba mashirika binafsi kuona umuhimu wa kuwawezesha wafungwa wanaotoka magerezani kupitia mpango wa ‘parole’ ili wafungwa waweze kupata kianzio cha maisha wanaporudi uraiani kuendelea na maisha yao.

Amesema kuwa wafungwa wengi wanaotoka kwa mpango huo wanakuwa wametumikia kifungo cha zaidi ya miaka minne gerezani na watokapo huwa na ujuzi wa kuweza kujiajiri na kuweza kuendelea kulitumikia taifa katika kukuza uchumi na kuacha kuwa tegemezi katika familia.

“Kumbuka kuwa wamekaa zaidi ya miaka minne hivyo wanapotoka kule wanakuwa na changamoto kubwa sana ya kuanza maisha ingawa wanakuwa na ujuzi wao, na wakati mwingine hata jamii inawanyanyapaa, kwahiyo Taasisi zisizo za kiserikali ni vyema zikaunga mkono mpanpo huu ili kuwawezesha kuwapatia kianzio cha maisha n ahata kukuza ujuzi walionao ili wajione ni sehemu ya jamii,” Alifafanua.

Ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa Bodi ya Parole Mkoa wa Rukwa ambayo hudumu kwa miaka mitatu na Mwenyekiti wake aliteuliwa mwishoni mwa mwaka 2017 na kumaliza muda wake mwishoni mwa mwaka 2020.

Akisoma risala mbele ya mgeni rasmi Mkuu wa Magereza   Mkoa wa Rukwa ACP. Simon Ihunja amezitaja changamoto zinazowakumba wafungwa hao wanapotoka gerezani huku kubwa likiwa ni kukosa kuwezeshwa wanapotoka magerezani baada ya kutumikia vifungo vyao.

“Mpango huu huwavutia wafungwa na kuona umuhimu wa kukaa vizuri gerezani ili waweze kutuliwa au kuchaguliwa kumalizia kifungo wakiwa nje, changamoto inayowakumba ni ile ya kwamba wanapotoka wanakuwa hawana kianzio ya kwamba anakwenda kuanza vipi wakati ameshatumikia miaka 10 hadi 15,” Alisema.

Bodi hiyo iliyozinduliwa ni bodi ya sita kutekeleza majukumu yake tangu kuzinduliwa kwa bodi hiyo mara ya kwanza mwaka 2003 na hadi sasa imewanufaisha wafungwa 176 ambapo mmoja wa wafungwa hao alivunja masharti ya bodi hiyo na kukamatwa na kurudishwa tena gerezani.

Matangazo

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2019 - Rukwa October 17, 2019
  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2021, Mkoa wa Rukwa December 18, 2020
  • Fomu za Kujiunga na Shule mbalimbali za Sekondari (JOINING INSTRUCTION) kwa Mwaka 2021 mkoani Rukwa. December 20, 2020
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Waomba Daraja la muda baada ya watu wanne kuzama mtoni

    February 27, 2021
  • Wananchi walazimika kuzunguka Zaidi ya Km 30 kufuata huduma kwa kukosa barabara ya km 7.3.

    February 26, 2021
  • Helium Yaibuka Kikao cha Bodi ya Barabara na kuibua gumzo.

    February 25, 2021
  • Waliokula Shilingi Milioni 932 za Halmashauri kufikishwa mahakamani.

    February 24, 2021
  • Angalia Zote

Video

Mwaka 2020 kuwa mwaka wa kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili Mkoani Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0756941328

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa