• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

“Umeme vijijini kupunguza vijana kukimbilia mijini” Dk. Kalemani

imewekwa Tar: January 31st, 2018

Waziri wa Nishati Dk. Medard Kalemani amesema zoezi linaloendelea la kusambaza umeme vijijini kupitia mradi wa REA litapunguza wimbi la vijana kukimbilia mijini na kubaki vijijini kwakuwa mradi huo una lengo la kusogeza fursa za kiuchumi zinazotegemea umeme katika maeneo yao.

Amesema kuwa serikali inatambua kuwa kuna uhitaji wa umeme mkubwa ingawa umeme unaozalishwa kwa sasa unakidhi mahitaji yaliyopo katika mkoa wa Rukwa ila mahitaji yanategemewa kuongezeka kadiri uchumi wa viwanda utakavyozidi kukuwa hivyo ni jukumu la serikali kujiandaa kukabiliana na hali hiyo.

“Hii nyanda ya Kaskazini magharibi kuanzia Mbeya, Sumbawanga, Mpanda hadi Kigoma kuna shida ya umeme mkubwa ingawa sasa umeme upo lakini ni wa gharama kwasababu ni wa mafuta na ni mkakati wa serikali kuleta umeme mkubwa, tulishaanza hatua za awali za ujenzi wa umeme mkubwa wa KV 400 kutoka Mbeya – Sumbawanga – Mpanda hadi Kigoma mrdi unaotegemewa kumalizika July 2019,” Amesema.

Awali akisoma taarifa ya hali ya umeme katika Mkoa wa Rukwa, Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachima Wangabo amebainisha uwepo wa viwanda 26 vinavyohitaji huduma ya umeme ikiwemo viwanda vya kusindika nafaka na Samaki.

“Tumefanya tathmini na kubaini viwanda 26 ombi letu kwako ni kutusaidia viwanda hivi viweze kupata umeme kwa sababu uendeshaji wake ni ghali sana kwa sasa. Baadhi ya viwanda hivyo vimefungwa kwa sababu havina nishati hiyo ya Umeme.”Mh. Wangabo alibainisha.

Mkoa wa Rukwa unapata umeme kutoka nchi jirani ya Zambia. Pamoja na kupata umeme kutoka kwenye gridi ya Zambia Mkoa wa Rukwa una mashine nne zinazotumia mafuta mazito (IDO). Umeme unaozalishwa kupitia mifumo hiyo ni Megawati 9.5 ikiwa 5MW ni za mashine na 4.5MW za gridi ya Zambia.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI 2025 January 10, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE 2025 January 10, 2026
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa