• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Watumishi Rukwa wapewa salamu kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi kuhusu utendaji wao.

imewekwa Tar: March 23rd, 2018

Watumishi wa Umma wa Halmashauri nne za Mkoa wa Rukwa pamoja na Sekretariet ya Mkoa wamekumbushwa wajibu wao wa kutenda haki kwa wananchi pamoja na wakuu wa idara kwa watumishi wengine ili kuboresha huduma na mahitaji ya wananchi.

Salamu hizo zizliobeba ujumbe mzito kutoka kwa Katibu Mkuu kiongozi uliwasilishwa na Waratibu wa utumishi wa umma kutoka Ofisi ya Rais Ikulu wakisisitiza uwajibikaji kwa watumishi wa umma katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku kazini na kuonya wale wanaotegea kufanya majukumu yao pamoja na wale wanaoingilia majukumu yasiyokuwa ya kwao.

Katika kusisitiza hayo wamesema kuwa ofisi ya rais Ikulu imekuwa ikipokea malalamiko mbalimbali kutoka kwa wananchi, malalamiko ambayo yangeweza kutatuliwa katika ngazi ya mkoa hadi kata na hivyo kuona sababu ya kuwakumbusha watumishi wa ngazi husika kuwatumikia wananchi kwa kuwatafutia ufumbuzi wa kero zao na sio kuwakejeli na kuwadharau na matokeo yake kumwandikia rais ili aweze kutatua matatizo yao.

“Taifa letu ni zuri sana lina utawala mpaka ngazi ya chini kwa wananchi, hivyo wananchi wetu wahudumiwe, wakihudumiwa vizuri watakuwa na utulivu, amani na kutekeleza wajibu na majukumu yao na hivyo kuboresha maisha yao na kuchangia maendeleo ya taifa lao, imebainika kwamba ile ngazi ambayo ipo karibu na wananchi ndiyo inayowachonganisha wananchi na serikali yao, ngazi ya kata na vijiji kwa kiwango kikubwa, ofisi zao badala ya kuwa za utumishi wa umma zimekuwa za makampuni binafsi na wao kuwa wafalme hivyo mwananchi anapokwenda pale kwaajili ya kusaidiwa anakerwa zaidi,” Alisema Francis Mangira Mratibu wa utawala wa utumishi wa Umma ofisi ya rais Ikulu.

Kwa upande wake Mratibu msaidizi wa utawala wa utumishi wa Umma ofisi ya rais Ikulu Abdalla Mlongane amesema kuwa watumishi wa umma wanapaswa kujiwekea malengo ya utekelezaji, kuyafuatiliana na kujitathmini katika utendaji wao bila ya kusahau kuzingatia maadili ya utumishi wa umma ikiwemo kuheshimiana baina ya watumishi na kutunza siri za ofisi.

Nae katibu tawala msaidizi utawala na rasilimali watu Aboubakar Kunenge aliuhakikishia ujumbe huo kuwa yale yote yalioagizwa yatazingatiwa na kufanyiwa kazi na hivyo watumai matokeo mazuri kutoka kwa watumishi waliopo katika mkoa wa Rukwa.

Matangazo

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2019 - Rukwa October 17, 2019
  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2021, Mkoa wa Rukwa December 18, 2020
  • Fomu za Kujiunga na Shule mbalimbali za Sekondari (JOINING INSTRUCTION) kwa Mwaka 2021 mkoani Rukwa. December 20, 2020
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waliokula Shilingi Milioni 932 za Halmashauri kufikishwa mahakamani.

    February 24, 2021
  • Wajumbe RCC waiomba Serikali kuhuisha Mradi wa VETA Sumbawanga ili kuwakomboa Wananchi.

    February 23, 2021
  • Shughuli za kibinadamu bado ni Changamoto katika uharibifu wa madaraja na barabara

    February 22, 2021
  • SITA WAFA KWA MATUKIO TOFAUTI IKIWEMO RADI

    February 18, 2021
  • Angalia Zote

Video

Mwaka 2020 kuwa mwaka wa kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili Mkoani Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0756941328

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa