• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Waziri Mbarawa asikitishwa na utendaji wa wahandisi wa maji kwenye halmashauri

imewekwa Tar: September 20th, 2018

Waziri wa maji na Umwagiliaji mh. Makame Mbarawa amesikitishwa na kitendo cha wahandisi wengi waliyopewa dhamana ya kusimamia miradi kushindwa kufanya hivyo na matokeo yake kuendelea kuisababishia serikali hasara na wananchi kukosa huduma wanayostahili.

“Wahandisi wetu wa Halmashauri hawafanyi kazi zao ipasavyo, mkandarasi anakuja tunakubaliana vizuri lakini wakati wa kuleta vifaa, pengine ameambiwa kuleta bomba la P10 ama P15 analeta bomba la P7 ama P8 anashindwa kuleta vifaa vyenye viwango vinavyotakiwa, kwakuwa mabomba yanazikwa chini hakuna anayeona matokeo yake ukipampu maji maji hayatoki, sababu mabomba yamepasuka yanaishia ardhini,” Alisema

Ameyasema hayo baada ya kupokea taarifa ya sekta ya maji ya mkoa iliyosomwa na mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo mara tu baada ya kuwasili katika Mkoa.

Katika taarifa yake hiyo Mh. Wangabo amesema kuwa mkoa una jumla ya miradi 19 yenye thamani ya shilingi bilioni 19.5 ambayo itatekelezwa kwenye vijiji 38 kupitia programu ya Maji na Usafi wa Mazingira ambapo kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018 shilingi bilioni 4.2 zilikuwa zimetengwa kwa ajili ya kulipia gharama za wakandarasi, wataalamu washauri, uhamasishaji wa usafi na mazingira, usimamizi na ufuatiliaji, na hadi kufikia juni 2018 shilingi bilioni 3.9 zilikuwa zimepokelewa.

https://www.youtube.com/watch?v=etaVILiekpA&feature=youtu.be

Matangazo

  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2021, Mkoa wa Rukwa December 18, 2020
  • Fomu za Kujiunga na Shule mbalimbali za Sekondari (JOINING INSTRUCTION) kwa Mwaka 2021 mkoani Rukwa. December 20, 2020
  • UTARATIBU WA UOMBAJI WA VITAMBULISHO VYA UJASILIAMALI March 24, 2021
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wafanyabiashara waombwa kuwa na huruma na wanaofunga mwezi wa Ramadhan

    April 16, 2021
  • Stendi Kuu ya Mabasi Sumbawanga kufunguliwa mwezi Mei

    April 15, 2021
  • Mwamko mdogo wa Wananchi wakwamisha zoezi la Urasimishaji Makazi Sumbawanga

    April 14, 2021
  • Serikali ipo inafanya kazi vizuri na itaendelea kuwepo, muhimu kudumisha amani – RC Wangabo

    April 05, 2021
  • Angalia Zote

Video

Mwaka 2020 kuwa mwaka wa kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili Mkoani Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0756941328

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa