imewekwa Tar: April 16th, 2021
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewaomba wafanyabiashara nawatoa huduma mbalimbali mkoani humo kutopandisha gharama za mazao na mahitaji mbalimbali katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa ...
imewekwa Tar: April 15th, 2021
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga kuhakikisha stendi kuu ya Mabasi iliyopo Katumba Azimio katika Manispaa hiyo kuwa inafunguliwa ifikapo tarehe ...
imewekwa Tar: April 14th, 2021
Wananchi wa Mtaa wa Sokolo, Kata ya Kizwite, Manispaa ya Sumbawanga Mkoani Rukwa wameonesha kukwamisha zoezi la urasimishaji wa makazi ya mtaa huo baada ya kushindwa kuchangia gharama ya upimaji ya Sh...