imewekwa Tar: January 30th, 2021
KATIBU wa afya wa halmashauri ya wilaya Nkasi Ibrahimu Kashatila (29) amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima kilichopo mjini Namanyere.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kaimu kamanda...
imewekwa Tar: January 28th, 2021
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametoa siku saba kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga kuhakikisha anatatua changamoto chache zilizobaki katika umaliziaji wa Stendi kuu ya Mabasi Katumba ...
imewekwa Tar: January 27th, 2021
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameupongeza uongozi wa Wilaya ya Kalambo kwa kufanikisha malengo ya kutatua kadhi ya upungufu wa madarasa kwa kujenga vyumba vya madarasa 20 badala ya sita vi...