Mkuu wa Mkoa wa Rukwa kamishna Mstaafu Zelote Stephen amewashauri Askari magereza kuwatumia vizuri wafungwa katika uzalishaji wa Bidhaa mbalimbali ili wanapotoka wawe na ujuzi na kuweza kujiajiri
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa KamishnMstaafu Zelote Stephen ameishauri kamati ya maandalizi ya nanenane nyanda za juu kusini kufikiria kushirikisha nchi za SADC ili kuongeza hamasa na kuleta ushindani kwa watanzania wafahamu yanayofanyika katika nchi za jirani.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Kamishna Mstaafu Zelote Stephen amemuamuru Mganha Mkuu wa Hospitali ya Mkoa kutoa pesa kwa wauguzi ili wajishonee wenyewe sare hizo kuliko kuwapa vitambaa peke yake.
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa