• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Biashara

BIASHARA.

Hali Ya Biashara Katika Mkoa.

Hali ya biashara katika mkoa inaendelea vizuri japo kuna changamoto chache za kushuka kwa bei za mazao. Biasahara ya mazao hasa mahindi huwa ni kichocheo kikubwa cha ustawi wa biashara nyingine kwani mahindi ndiyo zao kubwa la chakula na biashara katika mkoa wetu. Mfumuko wa bei kwa bidhaa za viwandani bado upo chini kiasi cha kufanya wananchi wanamudu kununua bidhaa hizo.

Utoaji wa mafunzo

Jumla ya wajasiriamali 23 walipata mafunzo katika kipindi cha mwaka wa fedha wa 2017/18. Mafunzo hayo yaliyotolewa au kuratibiwa na kila Halmashauri. Mafunzo hayo yalijikita katika  masuala yafuatayo:-

  • Jinsi ya kuendesha biashara
  • Mafunzo ya umuhimu wa mikopo katika biashara.
  • Upangaji wa bei za bidhaa 
  • Elimu ya kodi na  ukataji leseni.

Ukusanyaji na ufuatiliaji wa bei za bidhaa muhimu.

Idara za biashara katika halmashauri zinakazi ya kufuatilia mwenendo wa bei za bidhaa  muhimu katika  maeneo mbalimbali. Bei za bidhaa hizo ni kama zilivyoorodheshwa katika majedwali hapo chini.

Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Na
Aina Ya Bidhaa
Ufungaji
2017/2018
1
Mahindi
Gunia Kg 100
30,000/=
2
Mchele
1Kg
1500/=
3
Maharage
1Kg
1500/=
4
Sukari
1Kg
3000/=
5
Unga Wa Sembe
1Kg
1500/=

 

Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

Na
Aina Ya Bidhaa
Ufungaji
April 2018 Hadi Juni 2017
1
Mchele
Kg 1
1500/=
2
Mahindi
Kg 1
300/=
3
Sukari
Kg 1
2700/=
4
Ngano
Kg 1
1200/=
5
Maharage
Kg 1
1500/=

 

Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

Na
Bidhaa
Ujazo
Mwezi Julai 2017
Mwezi Juni 2018
Tofauti
1
Mahindi
Kilo 90
35,000
25,000
10,000
2
Mchele
Kilo 100
120,000
130,000
10,000
3
Maharage
Kilo 100
120,000
150000
30000
4
Sukari
Kilo 50
130000
130000

5
Mafuta ya Alizeti
Lt 20
60,000
68000
8000

Mafuta Ya Taa
Lt 1
2400
2400


Sabuni
Miche 10
8500
9500
1000

  

Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

Na 
Aina Ya Bidhaa
Ufungaji
2016/17
2017/18
Tofauti
1
Siment

50kg

16500

17000

500

2
Nondo mm16

Roller

30,000

30,000


3
Nondo mm12

Roller

17,000

16000

1,000

4
Nondo mm 10

Roller

12,000

11,000

1,000

5
Bati gauge  30

Bundle

235,000

260,000

25,000

6
Bati gauge 28

Bundle

250,000

290,000

40,000

7
Sukari

50kg

100,000

140,000

40,000

8
Petrol

lts

2160

2582

422

9
diesel

lts

1990

2502

512

10
Mafuta ya taa

lts

1980

2365

385

11
Mchele

Kg 100

180,000

130,000

50,000

12
Mahindi

Kg 100

50,000

25,000

25,000

13
Maharage

Kg 100

240,000

140,000

100,000

14
Nyama ya ng’ombe

1kg

5000

5000

-

 

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa