• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Mifugo

MIFUGO

Ufugaji ni shughuli kuu muhimu ya pili ya uchumi baada ya kilimo katika Mkoa. Takribani asilimia 51 ya kaya hujishughulisha na ufugaji. Mifugo inayofugwa kwa wingi  ni ng’ombe, mbuzi, kondoo, nguruwe, kuku na punda.

Mkoa unakadiriwa kuwa na ng’ombe 664,471  mbuzi 185,931  kondoo 56,291  nguruwe 44,177 na kuku 422,937. Wanyama wengine ni pamoja na punda 10,824,  bata 33,935,  kanga 10,222,  mbwa 41,159 na paka 9,514.

Maeneo ya ufugaji yanayotambuliwa kwa kupimwa na kumilikiwa kisheria ni hekta 79,884.63 za Mashamba makubwa ya mifugo ambayo ni Ranchi ya NARCO Kalambo, SAAFI Ltd na Efatha Heritage. Maeneo mengine yanayotumika kwa ufugaji tu vijijini yanakadiriwa kufikia hekta 85,452.2. Mashamba ya kilimo hutumika kama sehemu ya malisho mara baada ya kuvunwa kwa mazao.

Masoko na Biashara ya mifugo hai na mazao ya mifugo

Katika kipindi cha Julai, 2017 hadi June, 2018 biashara ya mifugo imewaingizia wafugaji na wafanya biashara ya mifugo kiasi cha fedha zinazokadiriwa kuwa jumla ya Sh. 26,469,492,500 kutokana na kuuza Ng’ombe 47,385, Mbuzi 14,912, Kondoo 2,255, Nguruwe 6,118 na Kuku 203,553.

Jumla ya ng’ombe 31,659, mbuzi 1,595, kondoo 582, nguruwe 1,672, punda 46, nyatimaji 1, farasi 4 na sungura 40 walisafirishwa ndani ya nchi. Ng’ombe 3,395 na nguruwe 2 walisafirishwa kwenda nje ya nchi (Zambia). Nyama iliyozalishwa katika uchinjaji ilikuwa ni tani 3,456.3 yenye thamani inayokadiriwa kuwa ni Sh. 17,181,815,300 ambapo ng’ombe 15,734, mbuzi 17,327, kondoo 2,816 na nguruwe 9,668 walichinjwa. Maziwa kiasi cha lita 3,845,095 yenye thamani ya Sh. 2,406,984,350 yaliuzwa. Jumla ya mayai  trei 83,546 yenye thamani ya Sh. 891,266,700 yaliuzwa. Kadhalika, jumla ya vipande 13,256 vya ngozi ghafi vyenye thamani ya Sh. 10,041,800 viliuzwa.

Usajili na utoaji Leseni kwa wafanyabiashara wa mifugo na nyama

Kwa mujibu wa Sheria ya Tasnia ya Nyama wafanyabiashara wote wanaofanya biashara ya kununua na kuuza mifugo katika minada ya mifugo, wanaosafirisha mifugo na wanaouza nyama ndani na nje ya nchi wanapaswa kujisajili Bodi ya Nyama Tanzania (TMB) na kupata leseni rasmi kulingana na aina na ngazi ya biashara na usafirishaji wa mifugo na nyama ndani au nje ya nchi. Wakati wa doria zilizofanywa na Kikosi cha Wizara ya Mifugo na Uvuvi kati ya tarehe 26 Machi na 31 Aprili, 2018 ilibainika kuwa wafanyabiashara hawajasajiliwa na TMB na wengi hawana leseni halali. Kufuatia hali hiyo tarehe 3.5.2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ilichukua jukumu la kutoa elimu kwa wafanyabiashara kuhusu Sheria, Kanuni na Taratibu zinazohusiana na tasnia ya nyama. Hadi kufikia Agosti 17, 2018, wafanyabiashara waliojisajili TMB kwa ajili ya bucha ni 12 na kwa ajili ya kununua na kusafirisha mifugo ni 21. Wafanyabiashara waliopata leseni za kununua na kusafirisha mifugo ngazi ya mkoa ni 9, ngazi ya kitaifa ni 1 kati ya wafanyabiashara 21 waliotuma maombi ya leseni. Ufuatiliaji unaendelea.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa