• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Ushirika

USHIRIKA

Lengo kuu la vyama vya ushirika ni kuunda vyombo vya kiuchumi ambavyo vinaanzishwa na kusimamiwa na wanachama wenyewe.

Huduma zinazotolewa na vyama vya ushirika kwa wanachama ni:-

  • Kutoa elimu ya wanachama kujiwekea akiba kutokana na shughuli zao za uzalishaji
  • Kutoa mikopo kwa wanachama ya kijamii na kujiendeleza yenye masharti nafuu.
  • Kutafuta pembejeo na masoko ya bidhaa za wanachama.
  • Kusaidia wanachama katika sekta mbali mbali za kiuchumi ikiwamo Uvuvi, ufugaji , ufundi n.k.

Mkoa wa Rukwa una jumla ya Vyama vya ushirika  187  kati ya hivyo 118  ni Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS), Vyama vya  mazao (AMCOS) hamsini na nne  (54), Vyama vya Uvuvi  vinne (4) naVyama vya wafugaji sita ngombe (6).  Chama cha wafugaji nyuki kimoja (1) vyama vya wauza bidhaa/huduma vinne (4)  na chama cha ufundi kimoja (1)

Jumla ya wanachama ni  18,908   (wanaume 12,041 wanawake 6,727 vikundi 138 na taasisi 2). Jumla ya thamani ya  hisa za wanachama ni Shilingi  893,824,000.00 Akiba ni  Shilingi  2,262,538,000.00 na Amana zenye thamani ya Shilingi 3,643,000.00 Jumla ya mikopo yenye thamani ya Shilingi 11,262,268,000 imetolewa  na kiasi cha Shilingi 9,330,198,000.00 kimerejeshwa sawa na asilimia 82 ya fedha zilizokopeshwa.

MCHAKATO WA UANZISHAJI WA CHAMA KIKUU.

Kwa Mujibu wa sharia ya vyama vya Ushirika Na. 6  ya mwaka 2013kifungu cha 29 (2) kinaelekeza ili chama kikuu kiweze kuandikishwa kinahitajika kuwa na wanachama wasiopungua ishirini ambao ni vyama vya msingi.

Hadi kufikia Juni 2018 Mkoa una vyama 54 na vyama hivi vimeandikishwa kati ya 2014 na 2018 hivyo bado ni vichanga na vinajengewa uwezo wa kiuchumi.

Katika kuanzisha chama kikuu jambo kubwa linaloangaliwa  ni uwezo wa kiuchumi wa vyama wanachama .Azimio la kuanzisha chama kikuu cha wakulima limetolewa katika Jukwaa la vyama vya Ushirika lililofanyika  tarehe 1 Juni 2018 , Kazi ya kuhamasisha vyama vya wakulima kuunda chama kikuu imeanza.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa