• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Ushirika

USHIRIKA

Lengo kuu la vyama vya ushirika ni kuunda vyombo vya kiuchumi ambavyo vinaanzishwa na kusimamiwa na wanachama wenyewe.

Huduma zinazotolewa na vyama vya ushirika kwa wanachama ni:-

  • Kutoa elimu ya wanachama kujiwekea akiba kutokana na shughuli zao za uzalishaji
  • Kutoa mikopo kwa wanachama ya kijamii na kujiendeleza yenye masharti nafuu.
  • Kutafuta pembejeo na masoko ya bidhaa za wanachama.
  • Kusaidia wanachama katika sekta mbali mbali za kiuchumi ikiwamo Uvuvi, ufugaji , ufundi n.k.

Mkoa wa Rukwa una jumla ya Vyama vya ushirika  187  kati ya hivyo 118  ni Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS), Vyama vya  mazao (AMCOS) hamsini na nne  (54), Vyama vya Uvuvi  vinne (4) naVyama vya wafugaji sita ngombe (6).  Chama cha wafugaji nyuki kimoja (1) vyama vya wauza bidhaa/huduma vinne (4)  na chama cha ufundi kimoja (1)

Jumla ya wanachama ni  18,908   (wanaume 12,041 wanawake 6,727 vikundi 138 na taasisi 2). Jumla ya thamani ya  hisa za wanachama ni Shilingi  893,824,000.00 Akiba ni  Shilingi  2,262,538,000.00 na Amana zenye thamani ya Shilingi 3,643,000.00 Jumla ya mikopo yenye thamani ya Shilingi 11,262,268,000 imetolewa  na kiasi cha Shilingi 9,330,198,000.00 kimerejeshwa sawa na asilimia 82 ya fedha zilizokopeshwa.

MCHAKATO WA UANZISHAJI WA CHAMA KIKUU.

Kwa Mujibu wa sharia ya vyama vya Ushirika Na. 6  ya mwaka 2013kifungu cha 29 (2) kinaelekeza ili chama kikuu kiweze kuandikishwa kinahitajika kuwa na wanachama wasiopungua ishirini ambao ni vyama vya msingi.

Hadi kufikia Juni 2018 Mkoa una vyama 54 na vyama hivi vimeandikishwa kati ya 2014 na 2018 hivyo bado ni vichanga na vinajengewa uwezo wa kiuchumi.

Katika kuanzisha chama kikuu jambo kubwa linaloangaliwa  ni uwezo wa kiuchumi wa vyama wanachama .Azimio la kuanzisha chama kikuu cha wakulima limetolewa katika Jukwaa la vyama vya Ushirika lililofanyika  tarehe 1 Juni 2018 , Kazi ya kuhamasisha vyama vya wakulima kuunda chama kikuu imeanza.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE( CSEE) 2025 January 31, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI 2025 January 10, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE 2025 January 10, 2026
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO SUMBAWANGA; ASISITIZA UMUHIMU WA HATI MILIKI ZA MAENEO YA TAASISI

    January 29, 2026
  • UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO; RC MAKONGORO AHIMIZA UBORA NA KUZINGATIWA KWA MUDA WA UTEKELEZAJI NKASI DC

    January 28, 2026
  • KUMBUKIZI YA KUZALIWA RAIS SAMIA; RC MAKONGORO AMUUNGA MKONO KWA KUONGOZA WANANCHI RUKWA KUPANDA MITI 4565

    January 27, 2026
  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa