• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Uvuvi

SEKTA YA UVUVI

Sekta ya uvuvi  ina mchango mkubwa kwa wananchi wa Mkoa wa Rukwa katika kuwapatia  lishe bora, ajira na kipato kwa mwananchi mmoja mmoja na  hivyo kuchangia kuondoa umasikini na kukuza  pato la Taifa.

Shughuli za uvuvi katika Mkoa hufanyika katika Maziwa mawili makubwa  ambayo  ni  Ziwa Tanganyika na Ziwa Rukwa  na  kwa kiasi kidogo katika mabwawa mawili ya asili ambayo ni  Kwela (Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga) na Sundu (Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo).  Kadhalika shughuli  hizi  za Uvuvi  hufanyika  katika mito na mabwawa yanayochimbwa  na  wananchi katika  maeneo  mbalimbali ya Mkoa.

Katika kipindi cha mwaka 2017/2018  jumla ya tani  2,008 za  samaki zenye thamani ya shilingi  bilioni 9.8   zilivunwa na kusafirishwa ndani na nje ya Mkoa wetu. Fedha hizi ni mapato ya wavuvi wetu kwenye masoko mbalimbali.

Mikakati ya kuendeleza sekta ya Uvuvi

Ili kukabiliana na Changamoto za sekta ya Uvuvi Mkoa unaendelea kushauri na kuhimiza Halmashauri kutekeleza mikakati ifuatayo:

  • Kuajiri wataalamu wa Uvuvi, angalau kuwa na Maafisa ugani  kwa kila Kata yenye mwalo.
  • Kutekeleze agizo la OR-TAMISEMI la kutenga  fedha 5% ya mapato yatokanayo na Uvuvi kwa ajili kuwezesha kudhibiti Uvuvi haramu katika Maeneo yao na kuendelea  kutoa elimu ya uvuvi endelevu
  •  Kuwezesha mazingira bora ya uundwaji wa BMUs na usajili wake na kufanya BMUs zilizopo kufanya kazi kikamilifu kwa mujibu wa Sheria na Kanuni za Uvuvi.
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi kuweka  miundombinu ya choo cha umma katika soko la samaki la Korongwe ili soko hilo liweze kutumika kwa malengo yaliyokusudiwa.
  • Kuendelea kuvutia wawekezaji  ili wajenge viwanda vya kuchakata mazao  ya uvuvi ili kuyaongezea thamani,
  • Kuendeleza ufugaji wa samaki katika Mabwawa na katika vizimba ili kuongeza mazao ya Uvuvi na kupunguza utegemezi mkubwa katika maziwa yetu.
  • Kuhamasisha sekta binafsi kuwekeza katika maduka na zana halali, bora na za kisasa za uvuvi

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa