Monday 5th, June 2023
@Sumbawanga
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa tarehe 13 Mei, 2022 atakuwa Mwenyekiti wa Kikao cha Kuratibu na Kudhibiti Mapato ya Serikali kitakachofanyika katika ukumbi wa RDC mjini Sumbawanga. Kikao hicho kitahusisha Wakurugenzi wa Halamsahauri na wataalam wa fedha na ukaguzi . Aidha Wakuu wa Wilaya za Nkasi, Kalambo na Sumbawanga wamealikwa kushiriki .
Taarifa zaidi za yakayojili zitatolewa mara baada ya kikao hicho.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0739862632
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa