Friday 29th, September 2023
@
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga ameanza ziara ya kikazi ya siku tatu katika halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga kukagua miradi ya sekta za afya ,elimu pamoja na kuzungumza na wananchi.
Ziara hiyo imeanza tarehe 04 Febrauri 2023 ambapo itaendelea kwa tarehe 06 na 07 .
Taarifa zaidi ya yatakayojili kwenye ziara hiyo tembelea mitandao ya kijamii ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa yenye anwani @rukwa rs.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0735019734
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa