Friday 3rd, May 2024
@Sumbawanga
Mkuu wa Mkoa Rukwa Mhe. Joseph Joseph Mkirikiti leo Jumatano (04.08.2021) amezindua zoezi la utoaji chanjo ya kinga dhidi ya ugonjwa wa virusi vya Corona. Halfa hiyo imefanyika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sumbawanga na kuhudhuriwa na viongozi wa wilaya, madhehebu ya dini ,viongozi wa vyama vya siasa na wannchi wa Manispaa ya Sumbawanga.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0735019734
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa