• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Uvuvi

Uvuvi

Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi

Shughuli za  Uvuvi katika  Mkoa,  zinaathiriwa na vitendo vya Uvuvi haramu, uchafuzi wa mazingira na mabadiliko ya tabia nchi. Katika kukabiliana na changomoto hizo Mkoa umeendelea kuratibu usimamizi endelevu wa raslimali za Uvuvi kwa kutoa mafunzo ya Uvuvi endelevu  na  kufanya doria kwa kushrikiana na vituo  vinne (4) vya usimamizi wa raslimali za uvuvi  vilivyoko chini ya  Wizara ya Mifugo na Uvuvi.

Kwa  mwaka 2018/2019  doria zilizofanyika  zilifanikisha kukamata kokoro 36 monofilamenti 22 makila chini ya inchi tatu 71 vyandarua vya mbu 41 mitumbwi isiyo na usajili  40,  ringnet  18 (<8mm)   na watuhumiwa 94 walihukumiwa.

Kuendeleza Ufugaji wa samaki katika mabwawa

Mkoa umetambua mabwawa  326 yanayofanya  kazi ya uzalishaji wa samaki katika Halmashauri zote 4 na kuyasajili kwenye rejista ya wafugaji wa samaki. Sambamba na hilo Elimu ya Ufugaji samaki na utengenezaji wa vyakula vya samaki imetolewa kwa wafugaji 37.

Mikakati ya kuendeleza sekta ya Uvuvi

Ili kukabiliana na Changamoto za sekta ya Uvuvi Mkoa unaendelea kushauri na kuhimiza Halmashauri kutekeleza mikakati ifuatayo:-

Kuajiri wataalamu wa Uvuvi, lengo ni  kuwa na maafisa ugani  kwa kila Kata yenye mwalo.

Kutekeleza agizo la Ofisi ya Rais -TAMISEMI la kutenga  fedha 5% ya mapato yatokanayo na Uvuvi kwa ajili ya kuwezesha kudhibiti Uvuvi haramu katika Maeneo yao na kuendelea  kutoa elimu ya uvuvi endelevu.

Kuwezesha mazingira bora ya uundwaji wa vikundi vya uvuvi endelevu (BMUs)  na kuvisajili ili vifanye kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni za Uvuvi.

Kuendelea kuvutia wawekezaji ili wajenge viwanda vya kuchakata mazao  ya uvuvi ili kuyaongezea thamani, wawekeze katika biashara ya samaki wa mapambo.

Kuendeleza ufugaji wa samaki katika Mabwawa na katika vizimba(cage culture) ili kuongeza mazao ya Uvuvi na kupunguza utegemezi mkubwa katika maziwa yetu.

Kuhamasisha sekta binafsi kuwekeza katika maduka na zana halali, bora na za kisasa za uvuvi

 

Mwanamama Kutoka Kasanga Wilaya ya Kalambo akiwa ameshika Samaki wa Ziwa Tanganyika 

Kasanga, Wilayani Kalambo, Ziwa Tanganyika 


Matangazo

  • Bei ya Mbolea za Rukuzu kwa Wakulima August 31, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Hotuba ya Bajeti ya WN -OR TAMISEMI 2022/23 April 20, 2022
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAS Mchatta akagua miradi

    January 26, 2023
  • Wadau wa Elimu

    January 15, 2023
  • Ruwasa

    January 03, 2023
  • Waziri Mkuu Aanza Ziara Rukwa

    December 14, 2022
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0739862632

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa