• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Uvuvi

Uvuvi

Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi

Hali ya uvuvi Mkoani

Mkoa una idadi ya wananchi 14,094 wanaojishughulisha moja kwa moja na uvuvi na wananchi 1,021 wanaojishughulisha na uchakataji wa mazao ya uvuvi. Wavuvi wanamiliki mitumbwi ya uvuvi 2,820. Katika Mkoa, shughuli za uvuvi zinafanyika kwa kiasi kikubwa katika maziwa mawili makubwa ambayo ni Ziwa Tanganyika na Rukwa na kwa kiasi kidogo katika maziwa madogo mawili ya asili ambayo ni Kwela na Sundu. Halikadhalika Uvuvi hufanyika katika mito 87 na mabwawa 481 yaliyochimbwa na wananchi katika maeneo mbalimbali ya Mkoa.

Fedha hizi ni mapato yaliyotokana na uvuvi wa samaki katika maeneo mbalimbali ya Mkoa. Kwa mwaka 2022/2023 jumla ya tani 3,178.41 za samaki na tani 162.81 za dagaa zilivuliwa katika mkoa wa Rukwa. Mchanganuo ufuatao umeelezea zaidi

Aina ya zao la uvuvi 
Gharama za ujazo
Julai 2022 hadi Juni, 2023
Samaki
Tani
3,178.41

Kiasi (shilingi)
18,956,463,345.80
Dagaa
Tani
162.81

Kiasi (shilingi)
676,767,871.36

Ujenzi wa soko la samaki la Kasanga

Katika kuhakikisha kuwa, huduma katika ukanda wa wavuvi zinaboreshwa, Wizara ya Mifugo na Uvuvi imejenga soko la samaki katika kijiji cha Lusambo kilichopo Kata ya Kasanga katika Wilaya ya Kalambo. Ujenzi huu unafadhiliwa na fedha za UVICO kupitia programu ijulikanayo kama Extended Credit Facilities (ECF). Ujenzi wa soko la samaki Kasanga unasimamiwa na Kampuniya Nice Contractor and Energy Supplies Ltd kwa gharama ya shilingi 1,409,580,965.20 Mwalo wa samaki wa Kirando. Ujenzi wa soko umefikia asilimia 95 ya kazi yote iliyoanza mwezi machi, 2023 na inatarajiwa kukamilika mwezi Novemba, 2023. 

Viwanda vya Usindikaji Mazao ya Uvuvi

Katika Mkoa kuna viwanda viwili vya kusindika na kuhifadhi  samaki vinavyomilikiwa na sekta binafsi ambavyo ni;-

Tanganyika Fresh Fish Ltd kipo Samazi-Kalambo chenye uwezo wa kugandisha barafu /cold freeze  kuanzia tani 3 hadi tani  5  kwa siku,

Kupitia taasisi ya The Nature Conservancy ilivipatia vikundi vya usimamizi wa rasilimali za maji (BMU) kwa kuwapa boti 4 za doria kwa vikundi vya Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi katika Kata nne za Itete, Kipili, Kirando na Mkinga.

 

Mwanamama Kutoka Kasanga Wilaya ya Kalambo akiwa ameshika Samaki wa Ziwa Tanganyika 

Kasanga, Wilayani Kalambo, Ziwa Tanganyika 


Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa