• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Huduma za Uvuvi

SEKTA YA UVUVI

Hali ya uvuvi Mkoani

Mkoa una idadi ya wananchi 14,094 wanaojishughulisha moja kwa moja na uvuvi na wananchi 1,021 wanaojishughulisha na uchakataji  wa mazao ya uvuvi. Wavuvi wanamiliki  mitumbwi ya uvuvi  2,820.  Katika Mkoa,  shughuli za uvuvi zinafanyika kwa kiasi kikubwa  katika maziwa  mawili makubwa  ambayo  ni  Ziwa Tanganyika na Rukwa  na  kwa kiasi kidogo katika maziwa madogo mawili ya asili ambayo ni  Kwela na Sundu. Halikadhalika Uvuvi  hufanyika  katika mito 87 na mabwawa 326  yaliyochimbwa  na  wananchi katika  maeneo  mbalimbali ya Mkoa.

Katika kipindi cha mwaka 2018/2019  jumla  ya  tani  2,976.75  zenye thamani ya shilingi bilioni 12.9 zilivunwa na kusafirishwa ndani  na  nje ya Mkoa. Fedha hizi ni mapato  yaliyotokana  na uvuvi wa samaki   katika maeneo mbalimbali ya Mkoa.

Ujenzi wa soko la samaki la Kasanga

Ujenzi wa soko la samaki la Kasanga umegharamiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo kwa kushirikiana na Muungano wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (MVIWATA), Jumuia ya Ulaya (EU), Shirika la Usimamizi wa miradi ya Jumuia ya Ulaya (GRET), Jamii ya Kasanga,  MIVARF na Wizara ya Mifugo na Uvuvi. Wadau wote hawa wamekwishachangia jumla ya Shilingi 1,408,856,527/=  katika ujenzi wa  miundo mbinu ya soko hili. Katika kipindi cha mwaka 2018/2019 Mkoa kwa kushirikiana na MIVARF umeweka vyumba baridi( cold rooms) na mtambo wa kuzalisha barafu (ice plant).Vifaa hivi vitawawezesha wavuvi wetu kuhifadhi mazao yao ya uvuvi kwa muda mrefu bila kuharibika huku wakisubiri soko la uhakika.

Mwalo wa samaki wa Kirando

Ujenzi wa Mwalo wa Kirando umefadhiliwa kwa pamoja na Programu endelevu ya bonde la Ziwa Tanganyika (PRODAP) na MIVARF ambapo PRODAP imechangia  jumla ya Shilingi 648,385,505/= na MIVARF imechangia shilingi 357,807,500/=. Mwalo unaendelea kutoa huduma kwa Wavuvi na Wafanyabiashara wa Samaki na dagaa. 

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa