• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Miundombinu

Seksheni hii ina lengo la kutoa huduma za kitaalamu zinazohitajika kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa katika kuendeleza Miundombinu na inaongozwa na Katibu Tawala Msaidizi ambaye anawajibika kwa Katibu Tawala wa Mkoa.

Majukumu ya Seksheni ya Miundombinu:

  • Kuratibu utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni na Viwango katika nyanja za Barabara, Majengo, Nishati, Upimaji, Ardhi na Mipangomiji
  • Kuzijengea uwezo Mamlaka za Serikali za Mitaa katika nyanja za Barabara, Majengo, Nishati, Upimaji, Ardhi na Mipangomiji
  • Kuwasiliana/kuwa daraja kuunganisha baina ya Mamlaka zinazohusika kwenye Serikali Kuu na Mamlaka za Serikali za Mitaa juu ya masuala ya Ujenzi
  • Kushauri juu ya Masuala ya barabara, Nishati, Ujenzi, Viwanja na uboreshaji mifumo
  • Kusimamia na kushauri juu ya kazi za Ujenzi zinazotekelezwa ndani ya Mkoa
  • Kuzisaidia Mamlaka za Serikali za Mitaa kutwaa ardhi kwa ajili ya matumizi ya Serikali Kuu
  • Kuandaa ramani kwa ajili ya mipangomiji
  • Kumshauri Katibu Tawala wa Mkoa juu ya Tathimini ya Athari za Kimazingira
  • Kuzishauri Mamlaka za Serikali za Mitaa katika kuendeleza maeneo ya wanyamapori

MiradiI mikubwa inayoendelea kutekelezwa mkoani Rukwa ni pamoja na Sumbawanga – Namanyere – Mpanda (km 245) na Sumbawanga – Matai – Kasanga Port (112 km) road.•Mradi wa Sumbawanga – Namanyere – Mpanda umegawanya katika sehemu mbili: Sehemu ya 1: Sumbaanga – Chala – Kanazi (km 75.0) na Sehemu ya 2: Kanazi – Kizi – Kibaoni (km 76.6)

  1. Sehemu ya Sumbawanga – Chala – Kanazi (km 75.0)  inajengwa na Mkandarasi Jiangxi Geo- Engineering (Group) Corporation kwa gharama ya TShs.78,840.6milioni. Mradi unaendelea vizuri kwani km 53.3  zimekamilika kujengwa kwa kiwango cha lami na maendeleo ya kazi yamefikia asilimia 90. Kazi inatarajiwa kukamilika mwezi Septemba 2017
  2. .Sehemu ya Kanazi – Kizi – Kibaoni (76.6 km) inayojengwa na Mkandarasi China Hunan Construction Engineering Group kwa gharama ya TShs.82,841.8 milioni, inahusisha sehemu tatu za: Kanazi – Kizi (km 46.7), Namanyere Link (km 1.2) na Kizi – Kibaoni Spur (km 28.3) kati ya hizo km 8.0  ziko katika mkoa wa Rukwa na km 20.3 zilizobaki ziko mkoa wa Katavi.
  3. Sehemu ya Kanazi – Kizi – Kibaoni (km 76.6) imekamilika kujengwa kwa kiwango cha lami kwa asilmia 100 kwani km 76.22 zote zimejengwa kwa kiwango cha lami. Mradi uko chini ya matazamio kwa muda wa mwaka mmoja kabla ya kukabidhiwa TANROADS.
  4. Mradi wa ujenzi wa barabara ya Sumbawanga – Matai – Kasanga Port (km 112.0) kwa kiwango cha lami unatekelezwa kwa njia ya Sanifu na Kujenga (Design and Build) na Mkandarasi China Railway15 Bureau Group na Newcentry JV kwa gharama ya TShs. 133,286.603 milioni.•Hadi 30 Juni 2017,km 71.4 zimekalika kujengwa kwa kiwango cha lami sawa na asilimia  66.7.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI 2025 January 10, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE 2025 January 10, 2026
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa