Seksheni hii ina lengo la kutoa huduma za kitaalamu zinazohitajika kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa katika kuendeleza Miundombinu na inaongozwa na Katibu Tawala Msaidizi ambaye anawajibika kwa Katibu Tawala wa Mkoa.
Majukumu ya Seksheni ya Miundombinu:
MiradiI mikubwa inayoendelea kutekelezwa mkoani Rukwa ni pamoja na Sumbawanga – Namanyere – Mpanda (km 245) na Sumbawanga – Matai – Kasanga Port (112 km) road.•Mradi wa Sumbawanga – Namanyere – Mpanda umegawanya katika sehemu mbili: Sehemu ya 1: Sumbaanga – Chala – Kanazi (km 75.0) na Sehemu ya 2: Kanazi – Kizi – Kibaoni (km 76.6)
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0739862632
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa