Kitengo hiki kina lengo la kutoa huduma ya ushauri kwa Afisa Masuuli kuhusu taratibu sahihi na zinazokubalika za usimamizi wa masuala ya fedha. Kitengo hiki kinaongozwa na Mkaguzi Mkuu wa Ndani Sekretarieti ya Mkoa ambaye anawajibika kwa Katibu Tawala wa Mkoa.
Majukumu ya Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
Kitengo kinaongozwa na:
Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga
Simu: 025 280 2137
Simu: 0764902066
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa