• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

“Bila ya Ushirikiano kati ya TBA na SUMA JKT ofisi ya DC Kalambo haitakwisha kwa wakati” RC Wangabo

imewekwa Tar: January 25th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewasisitiza msimamizi mshauri wa ujenzi wa ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kalambo ambao ni Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kushirikiana na Mkandarasi SUMA JKT kuhakikisha wanamaliza jengo hilo kwa wakati.

Amesema kuwa Ujenzi huo ulisimama zaidi ya miezi minne ambao ulitakiwa kumalizika mwezi wa 5 na kwa uchelewaji huo utasababisha kumalizika mwezi wa 10 jambo ambalo sio matarajio ya serikali ya awamu ya tano kufanya kazi kwa kusuasua.

“TBA wahakikishe wanashirikiana vizuri na SUMA JKT ili kumaliza ujenzi huu na ili hili jengo liende kwa kasi tunayoitaka kila mwezi tutakuwa tunapita kuangalia maendeleo ya ujenzi huo, sijaamini kwamba TBA wameshindwa kuwasimamia SUMA JKT ninachotaka makubaliano yote ya pande mbili yaheshimiwe ili kazi ziende kusiwe na mjuzi zaidi ya mwenziwe, mwelekezane” Mh. Wangabo alibainisha.

Hayo yamejitokeza baada ya Mh. Wangabo kutembelea ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kalambo na kuona kusuasua kwa ujenzi huo na kuamua kuitisha kikao ili kujua sababu za kujitokeza kwa hali hiyo ambayo sio makubaliano na hakuna taarifa za kuridhisha juu ya maendeleo ya ujenzi huo.

Awali akitoa taarifa ya kusuasua kwa ujenzi huo Meneja wa Wakala wa Majengo Mkoa wa Rukwa Arch Deocles Alphonce amesema kuwa ujenzi huo ulitakiwa kumalizika tarehe 16/5/2018 lakini kutokana na sababu za hali ya hewa na mabadiliko ya ramani kutokana na jiografia ya eneo ndio iliyopelekea kuchelewa kwa ujenzi huo kumalizika kwa wakati.

Nao Suma JKT wakimshukuru Mh. Wangabo kwa kuwakutanisha makundi matatu, wao kama Mkandarasi, Mteja ambae ni ofisi ya Katibu Tawala mkoa pamoja na Msimamizi Mshauri (TBA) kuelekezana palipokwenda tofauti na hatimae kufikia muafaka na kuendelea na ujenzi huo wenye thaamni ya Shilingi Milioni 289.

 

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa