• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Daraja la Bil. 17.7 linalounganisha Rukwa na Songwe kukamilika Februari 2019.

imewekwa Tar: October 16th, 2018

Katika kuhakikisha kuwa mawasiliano ya wananchi wa mikoa miwili katika sekta ya uchumi na uzalishaji yanakuwa serikali ya awamu ya tano imeendelea kuboresha hayo kwa kujenga daraja kubwa lenye urefu wa mita 84 linalounganisha Mkoa wa Rukwa na Songwe kupitia kijiji cha Kilyamatundu, bonde la ziwa rukwa katika mto Momba.

Ujenzi wa daraja hilo ulianza mwanzoni mwa mwezi wa nane mwaka 2017 ambapo ulipaswa kukamilika baada ya miezi 13 yaani mwezi wa nane mwaka huu. Aidha kutokana na changamoto za mafuriko ya mto huo wakati wa mvua za masika, kazi za ujenzi ziliahirishwa na kutegemewa kukamilika mwezi wa pili mwaka 2019.

Ameyasema hayo katibu tawala msaidizi seksheni ya serikali za mitaa Albinus Mgonya wakati wa kuwasilisha taarifa mbalimbali kwa mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ambapo amesema gharama ya ujenzi wa daraja hilo Shilingi Bilioni 17.7.

“Hadi sasa ujenzi umefikia asilimia 65 ambapo tayari mkandarasi amekwishajenga nguzo (pivers) mbili na kingo (abutments) mbili za upande wa Kilyamatundu na Kamsamba pia ujenzi wa beams na sakafu (deck slab) umekamilika,” Alisema

Kukamilika kwa Daraja hili kutaongeza fursa za kiuchumi katika eneo la Bonde la Ziwa Rukwa hivyo kuendelea kuifungua Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga na Mkoa wa Rukwa kwa ujumla.

Matangazo

  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • REA KUANZA KUSAJILI NA KUUZA MAJIKO BANIFU MKOANI RUKWA

    August 28, 2025
  • MPANGO BORA WA UFUGAJI NYUKI WAWAFIKIA MACHIFU RUKWA

    August 20, 2025
  • TUME YA UCHAGUZI YAZITAKA TAASISI ZA ELIMU YA MPIGA KURA KUZINGATIA SHERIA NA MAELEKEZO

    July 31, 2025
  • RUKWA YAENDELEA KUCHUKUA HATUA THABITI KUDHIBITI VIFO VYA MAMA NA MTOTO

    July 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa