• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

DC Kalambo awataka wasichana kuanza kijilinda wenyewe kupunguza mimba za utotoni

imewekwa Tar: October 11th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mh. Julieth Binyura amewataka wasichana wa shule za msingi na sekondari kuhakikisha wanaanza kujilinda wenyewe kwa kutojiweka na kujihusisha na mazingira tatanishi wanapotoka shuleni na badala yake waendelee kusaidi kazi za nyumbani na kujisomea wakiwa nyumbani.

Ameyasema hayo katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani yaliyofanyika katika uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga huku akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo kama mgeni rasmi wa maadhimisho hayo.

Pia ametoa wito kwa wazazi na walezi mkoani humo kuhakikisha wanawalinda watoto wa kike lakini ili kupunguza vitendo vya ukatili amewaomba wazazi kushirikiana kujenga mabweni ili kuwahakikishia ulinzi watoto hao.

“Kauli mbiu inasema tuwalinde watoto wa kike, ni kweli tuwalinde kwani tusipofanya hivyo, tutahatarisha nchi yetu na kuhatarisha dunia nzima kwa watoto kukosa maadili mazuri, maadili yanatoka kwetu wazazi, nawaomba wananchi qwote wa Mkoa wa Rukwa tuwalinde watoto wetu wanapokuwa mashuleni na majumbani,” Alisisitiza.

 Awali akisoma risala mbele ya mgeni rasmi mwanafunzi Amina Suleiman amesema kuwa ingawa katika familia nyingi hawatoi kipaumbele cha kuwasomesha watoto wa kike lakini imeshuhudiwa mara kadhaa watoto hao wa kike ndio wanaowalea wazazi.

“Utafiti uliofanywa na wadau mbalimbali wa haki za watoto, umebaini kuwa hali duni ya kiuchumi ya wazazi wengi umechangia watoto wao wa kike kukatisha masomo kwa lengo la kuwaoza au kuwapeleka kufanya kazi za ndani ili waweze kuwasaidia kipato kidogo wanachokipata,” Alibainisha

Halikadhalika aliongeza kuwa shirikala maendeleo ya wasichana linasema kuwa wasichana milioni 39 kati ya umri wa miaka 11 hadi 15 hawamalizi masomo yao.

Kuanzia Julai 2017 hadi Mei 2018 jumla ya wanafunzi 149 wamepata ujauzito katika mkoa wa Rukwa, huku wanafunzi wa shule ya msingi wakiwa 59 na sekondari ni 98. Hatua zilizochukuliwa ni pamoja na watendaji wa kata kufikisha kesi hizo polisi na mahakamani kwa hatua Zaidi na mapaka sasa matukio yote 149yameripotiwa polisi na 7 yapo mahakamani.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa