• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

DC Nkasi aonya wanaotishia hali mbaya kiuchumi.

imewekwa Tar: November 7th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Mh. Said Mtanda amewaonya wale wote wanaowatia hofu wananchi wa mwambao wa ziwa Tanganyika juu ya ugumu wa maisha baada ya kufanyika oparesheni ya kukamata wavuvi haramu katika mwambao huo.

“kuna kikundi kidogo cha watu kazi yao kuwajaza wananchi hofu, baada ya suala la (operesheni ya) Samaki kuanza tulipokea kama simu sita saba hivi wengine wakitoka hapa kirando, tukafuatilia, tukawaita wale maafisa wanaofanya oparesheni, tukakaa nao, tulikuwa tunaambiwa huruhusiwi hata kusafirisha samaki hata kama ni mmoja, tukajua hali ni mbaya, tuliuliza nia ya operesheni tukaambiwa ni kudhibiti uvuvi haramu sio kuzui biashara ya samaki,” Alisema.

Ameyasema hayo baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wavuvi hao walizozielekeza  kwa Mkuu wa Mkoa akiwa ziara fupi kata ya kirando ili kujionea maafa yaliyotokea siku chache zilizopita yalisababishwa na mvua kali na kuharibu nyumba 27 na kutia hasara ya shilingi milioni 26.

Ameongeza kuwa wavuvi hao walikuwa wanalalamika kutozwa kuanzia milioni tano kama faini ya kukiuka sheria za uvuvi lakini baada ya mkuu wa Wilaya huyo kutangaza aliyetozwa kiasi hicho ajitokeze ili arudishiwe fedha yake, hakutokea hata mwananchi mmoja.

Aliwataka watu kuacha hofu na wengine kuacha kuwapa wenzao hofu kwa kuwaambia kuwa shughuli za uvuvi hivi sasa hakuna na kwamba watu wanaotegemea shughuli hizo watalala na njaa jambo ambalo si la kweli.

Mmoja wa wavuvi hao Ali Seif alisema kuwa wavuvi wamekuwa wakitozwa faini kubwa kuliko kawaida ikiwemo faini ya shilingi milioni tano na milioni kumi huku mvuvi mwingine Rashid Huseni aliongeza kuwa wakazi wa Kijiji cha Kirando kwa asilimia 99 wanategemea ziwa Tanganyika kwaajili ya vipato vya vya kuendesha maisha hivyo operesheni hiyo inawakosesha vipato hivyo na kusababisha watu wajiingize kwenye uhalifu.

Akitoa maelekezo ya Serikali katika utekelezaji wa zoezi hilo Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo alisisitiza kuwa aliapa kuitetea na kuilinda sheria ya nchi na hana mpango wa kwenda kinyume na sheria ambayo ilishapitishwa ila ataendelea kusisitiza utekelezaji wake hadi hapo itakapobadilishwa na vyombo husika.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa