• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

DC Sumbawanga aeleza mikakati ya kukitangaza Chuo cha VETA

imewekwa Tar: October 23rd, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfan Haule ameeleza mikakati yake ya kufanya ziara wilaya nzima yenye kata 48 kwa lengo la kukitangaza Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) kinacheondelea kujengwa katika Manispaa ya Sumbawanga kwa lengo la kuwaweka tayari wazazi na wanafunzi watakaokuwa na sifa ya kujiunga na chuo hicho.

Amesema kuwa anataka chuo hicho kiwafaidishe wazawa wa Mkoa wa Rukwa kwasabau chuo hicho kitatumiwa na vijana kutoka katika mikoa mbalimbali hivyo ni vyema vijana wazawa wakapata elimu na kuweza kuusaidia Mkoa kufikia lengo la Tanzania ya viwanda hadi ifikapo mwaka 2025.

Pia katika kuhakikisha jambo hilo linafanikiwa Dkt. Haule amekubaliana na Mstahiki Meya pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga kuwa ajenda ya Chuo cha VETA iwe ni ya kudumu kwenye vikao vyao vya madiwani

 “Hatutaki tena watu wabebe mageti kutoka Ilemba wayalete hapa mjini, watengenezee kule kule na pia fursa za viwanda kwa mafundi wa mashine za kukobolea mpunga wapate amfunzo hapa na kuweza kutumia ujuzi kule vijijini,” Alisema.

Ameyasema hayo wakati wa ziara ya kujua maendeleo ya ujenzi wa chuo hicho akiwa na Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo pamoja na wataalamu wengine kutoka katika Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga wakiongozwa na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo pamoja na Mstahiki Meya.

Kwa upande wake Mh. Wangabo alitoa msisitizo kwa wanafunzi juu ya kuzingatia masomo ya sayansi ambayo ndio kipaumbele cha elimu nyingi za ufundi zitakazoanzishwa katika Chuo hicho cha VETA.

“Nitoe rai pia kwa upande wa wanafunzi wenyewe, ili uje kusoma kwenye chuo hiki, fursa ipo kwa wale wanafunzi wa masomo ya sayansi, kwasababu ufundi unaendana na masomo ya sayansi na hisabati, basi wanafunzi watilie umuhimu sana masomo ya sayansi, kwasababu haya ndio yanayotupeleka katika uchumi wa kati wa viwanda,”Alisema

Ujenzi ukikamilika chuo kitaweza kuchukua wanafunzi 900 wa kozi ndefu na 600 wa kozi fupi hivyo, kitakuwa na uwezo wa kuchukua jumla ya wanafunzi 1,500.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa