• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

HALMASHAURI YA MANISPAA YA SUMBAWANGA YATAKIWA KUBUNI VYANZO VIPYA VYA MAPATO

imewekwa Tar: June 13th, 2023


Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga imetakiwa kuongeza wigo wa mapato kwa kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kupunguza utegemezi kwa vyanzo vichache vilivyopo ambavyo pamoja na kuwa mapato yake yanakusanywa kwa asilimia 100 bado Halmashauri ina mzigo mkubwa wa madeni ya watumishi na wazabuni.

Hayo yameelezwa leo tarehe 13 Juni 2023 na Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere, Mkuu wa Mkoa wa Rukwa aliposhiriki Kikao cha Baraza la Madiwani cha kupitia na kujadili taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Mwaka 2021/2022.

Ameeleza kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga imepata hati yenye mashaka  kwa sababu mbalimbali ikiwemo mapungufu makubwa katika taarifa ya hesabu za mwisho, mapungufu katika usimamizi wa sheria na taratibu za manunuzi  madeni makubwa ya wazabuni na watumishi na kutokamilika kwa wakati kwa miradi ya maendeleo.

Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga imetakiwa kuhakisha miradi yote inakamilika  kwa wakati.  Miradi hiyo ni pamoja na Kituo Kikuu cha Mabasi  Katumba Azimio, Kituo cha Afya Mollo, Shule  ya Sekondari Aeshi iliyoko Kata ya Momoka na Hospitali ya Manispaa.

Katika kikao hicho Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa ameagiza kuchukuliwa kwa hatua stahiki dhidi ya watumishi wote ambao wameisababishia Halmashauri hoja zilizopelekea kupata hati yenye mashaka.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa