• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA YAIBUKA KINARA WA MKOA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA KIPINDI CHA MWAKA 2022/2023

imewekwa Tar: July 25th, 2023


Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga imeibuka kinara wa utekelezaji wa Afua za Lishe kwa kipindi cha Mwaka 2022/2023 na kukabidhiwa cheti cha pongezi na Mkuu wa Mkoa, Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere. Halmashauri hiyo imeongoza katika kwa kutenga fedha na kusimamia utekelezaji mipango na bajeti ya lishe.  Fedha zilizotumika katika masuala ya lishe katika Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa Mwaka 2022/23 ni asilimia 128.

Akikabidhi cheti cha pongezi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga Bi. Lightness Msemo, Mheshimiwa Makongoro ameitaja Halmashauri hiyo kama mfano wa kuigwa katika utekelezaji wa Mkataba wa Lishe  na kueleza kuwa Mkoa wa Rukwa unaweza kuwa wa kwanza katika masuala  mengine pia ikiwa yatapewa kipaumbele kama ilivyofanyika kwa suala la lishe katika Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa amezitaka Halmashauri zote kutenga fedha na kuhakikisha fedha zilizotengwa zinatumika kwa kuzingatia mipango iliyowekwa. Amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri zingine zote za Mkoa wa Rukwa kujifunza na kuiga mbinu zinazotumiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga.

Akihitimisha hafla hiyo Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa amezielekeza Halmashauri zote za Mkoa wa Rukwa kusimamia ipasavyo mipango na bajeti zilizowekwa. Ametaka kusimamiwa kwa mpango wa shule kuwa na mashamba na bustani za mbogamboga ili kusaidia upatikanaji wa chakula bora kwa wanafunzi huku akaielekeza kuongezwa kwa viini lishe katika chakula kinachosambazwa na wazabuni wa shule na huku akisisitiza kutungwa kwa Sheria Ndogo za lishe kwa kila Halmashauri.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa