• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA YAPONGEZWA NA MWENGE WA UHURU 2023 KWA KUTUMIA MAPATO YA NDANI KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO

imewekwa Tar: September 1st, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga yapongezwa na Mwenge wa Uhuru 2023 kwa kutumia mapato ya ndani kuteleza Miradi ya Maendeleo.Akiweka jiwe la Msingi kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Ndg. Abdalla Shaib Kaim  katika mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Kaengesa ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga kwa kufanikisha ujenzi wa Kituo hicho kwa mapato ya ndani

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Ndg Abdalla Shaib Kaim na hadhara ya wananchi wa Wilaya ya Sumbawanga katika viwanja vya Kituo cha Afya Kaengesa  ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga  kwa kutekeleza mradi huo kwa viwango na ubora , ambapo Halmashauri ya Wilaya Ya Sumbawanga imedhamiria kwa dhati kuhakikisha kuwa huduma za afya zinaboreshwa katika Kata ya Kaengesa na wananchi wanapatahuduma za afya zinazotakiwa na kwa ubora unaotakiwa

Aidha amemshukuru Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha nyingi katika Manispaa ya Sumbawanga ambazo zimewezesha utekelezaji wa miradi mbalimbali katika Halmashauri hiyo na nchi nzima kwa ujumla.

Mwenge wa Uhuru 2023 katika Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga umezindua Miradi 03,umeweka mawe ya msingi miradi 03 na kukagua miradi miradi 03, Miradi hiyo ni  kuweka jiwe la msingi mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya Kaengesa wenye thamani ya ya shilingi milioni 270,kuweka jiwe la msingi mradi wa Maji Kalambanzite wenye thamani ya Shilingi bilioni 6, kuweka jiwe la msingi ujenzi wa shule mpya ya Msingi Tuwi yenye thamani ya shilingi milioni 538 Kukagua mradi wa Ujenzi wa Daraja la Mawe Barabara ya Kalambanzite – Kapoka yenye thamani ya shilingi milioni 49

 Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa amewataka wananchi kutelekeza kauli Mbiu ya Mwenge wa Uhuru 2023  isemayo “Tunza Mazingira, Okoa vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa Viumba Haina Uchumi wa Taifa” kwa kitendo, kushiriki katika mapambano ya rushwa, kutokomeza ukatili wa kijinsia na unyanyapa, kuzingatia  kanuni za lishe bora ili kuimarisha lishe, kutokomeza maralia na kukakikisha tunaokoa kizazi chetu dhidi ya madawa ya kulevya kwa kukabiliana na changamoto  za madawa ya kulevya kwa wakati wote kwa ustawi wa jamii.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE( CSEE) 2025 January 31, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI 2025 January 10, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE 2025 January 10, 2026
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO SUMBAWANGA; ASISITIZA UMUHIMU WA HATI MILIKI ZA MAENEO YA TAASISI

    January 29, 2026
  • UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO; RC MAKONGORO AHIMIZA UBORA NA KUZINGATIWA KWA MUDA WA UTEKELEZAJI NKASI DC

    January 28, 2026
  • KUMBUKIZI YA KUZALIWA RAIS SAMIA; RC MAKONGORO AMUUNGA MKONO KWA KUONGOZA WANANCHI RUKWA KUPANDA MITI 4565

    January 27, 2026
  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa