• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA YAPONGEZWA NA MWENGE WA UHURU 2023 KWA KUTUMIA MAPATO YA NDANI KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO

imewekwa Tar: September 1st, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga yapongezwa na Mwenge wa Uhuru 2023 kwa kutumia mapato ya ndani kuteleza Miradi ya Maendeleo.Akiweka jiwe la Msingi kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Ndg. Abdalla Shaib Kaim  katika mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Kaengesa ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga kwa kufanikisha ujenzi wa Kituo hicho kwa mapato ya ndani

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Ndg Abdalla Shaib Kaim na hadhara ya wananchi wa Wilaya ya Sumbawanga katika viwanja vya Kituo cha Afya Kaengesa  ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga  kwa kutekeleza mradi huo kwa viwango na ubora , ambapo Halmashauri ya Wilaya Ya Sumbawanga imedhamiria kwa dhati kuhakikisha kuwa huduma za afya zinaboreshwa katika Kata ya Kaengesa na wananchi wanapatahuduma za afya zinazotakiwa na kwa ubora unaotakiwa

Aidha amemshukuru Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha nyingi katika Manispaa ya Sumbawanga ambazo zimewezesha utekelezaji wa miradi mbalimbali katika Halmashauri hiyo na nchi nzima kwa ujumla.

Mwenge wa Uhuru 2023 katika Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga umezindua Miradi 03,umeweka mawe ya msingi miradi 03 na kukagua miradi miradi 03, Miradi hiyo ni  kuweka jiwe la msingi mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya Kaengesa wenye thamani ya ya shilingi milioni 270,kuweka jiwe la msingi mradi wa Maji Kalambanzite wenye thamani ya Shilingi bilioni 6, kuweka jiwe la msingi ujenzi wa shule mpya ya Msingi Tuwi yenye thamani ya shilingi milioni 538 Kukagua mradi wa Ujenzi wa Daraja la Mawe Barabara ya Kalambanzite – Kapoka yenye thamani ya shilingi milioni 49

 Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa amewataka wananchi kutelekeza kauli Mbiu ya Mwenge wa Uhuru 2023  isemayo “Tunza Mazingira, Okoa vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa Viumba Haina Uchumi wa Taifa” kwa kitendo, kushiriki katika mapambano ya rushwa, kutokomeza ukatili wa kijinsia na unyanyapa, kuzingatia  kanuni za lishe bora ili kuimarisha lishe, kutokomeza maralia na kukakikisha tunaokoa kizazi chetu dhidi ya madawa ya kulevya kwa kukabiliana na changamoto  za madawa ya kulevya kwa wakati wote kwa ustawi wa jamii.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa