• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Hatimae Rukwa wapata hatima ya soko la mahindi.

imewekwa Tar: October 15th, 2018

Kutokana na zao la mahindi kuwa ni zao la chakula na biashara katika mkoa wa Rukwa, kuyumba kwa soko hilo kwa mwaka 2017/2018 kumewafanya wananchi waliowengi kukosa kipato cha uhakika ambacho kingewasaidia kukidhi mahitaji yao mbalimbali.

Ili kuhakikisha kuwa wakulima wanaondokana na kadhia hiyo na hatimae kupata soko la uhakika serikali ya mkoa wa Rukwa imeandaa mikakati mbalimbali kukabiliana na kusuasua huko kwa soko la mahindi.

Akizungumza mbele ya mkuu wa mkoa wa Rukwa, Kaimu Mkuu wa Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji Ocran Chengula amesema kuwa serikali ya mkoa umefanya jitihada kadhaa ili kuhakikisha mwananchi wa Rukwa anaondokana na kadhia hiyo ya soko la mahindi na hatimae kupata suluhisho la kuuza mazao yake kwa bei nzuri.

“Tumedhamiria kuwaunganisha wakulima na masoko ya mahindi kama WFP (Worl Food Programme) kupitia  taasisi ya BRITEN (Building Rural Income Trough Enterprise) ikiwa ni pamoja na kuwasaidia wafanyabiashara na wajasiriamali kwa kuwaelekeza taratibu za kufuata ili kukidhi vigezo vya kuuza mazao nje ya nchi.” Alisema

Aidha, Aliongeza kuwa kuviunganisha vikundi vya wakulima (SACCOS na AMCOS) ili kuuza mahindi kwa Wakala wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Sumbawanga. Ambapo ununuzi wa Mahindi meupe utaanza kupitia vikundi hivyo jambo litakalosaidia kuongeza wigo wa soko la Mahindi.

Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Kanda ya Sumbawanga katika msimu huu wa 2018/2019 wamepanga kununua kiasi cha tani 5,500 tu za mahindi meupe katika Mkoa wa Rukwa, kiasi ambacho ni kidogo kulinganisha na ziada ya tani 453,049.2 zilizozalishwa kwa msimu wa 2017/2018.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa