• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

“Hatuhitaji Kupeleka mahindi Dar es Salaam, tunahitaji kupeleka unga,” RAS Rukwa.

imewekwa Tar: August 14th, 2017

Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa, Benard Makali amewasisitizia wafanyabiashara wadogo na wakubwa wa mahindi kuachana na tabia ya kusafirisha mahindi kwenda mikoani na badala yake waongeze thamani ya mazao hayo na kusafirisha unga kwenda kwenye mikoa hiyo.

Ameyasema hayo alipokuwa akifungua kikao cha wadau wa uwekezaji kwenye sekta ya Viwanda Mkoani hapa iliyohudhuriwa na wakurugenzi wa Halmashauri, Mameneja kutoka TANROADS, TANESCO, SIDO na wamiliki wa viwanda katika mkoa.

“Mkoa kama wa Dar es Salaama hawahitaji mahindi wanahitaji mazao yanayotokana na mahindi kama ni unga, ama pumba kwaajili ya chakula cha mifugo lakini utaona kuna malori yamejaza magunia ya mahindi yakielekea Dar es salaam badala ya kupeleka unga.” Amesema.

Awali alipokuwa akisoma hotuba kwa niaba ya mkuu wa Mkoa, Benard Makali alisema kuwa Mkoa wa Rukwa unaendelea kuweka mazingira wezeshi ili kila mwenye nafasi na awezo ashiriki kikamilifu katika kuzalisha bidhaa kwa kuzingatia viwango na ubora wa mahitaji ya Soko.

Aliongeza kuwa Mkoa wa Rukwa una fursa nyingi za uwekezaji katika maeneo ya kilimo, mifugo na uvuvi hiuvyo basi aliwaasa wakurugenzi wa Halmshauri kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa mkoa kujikita katika kutangaza fursa za uwekezaji zilizopo katika Halmashauri zao ili kuvutia wawekezaji wakubwa na wadogo ili waweze kuwekeza katika sekta hizo.

Kwa mujibu wa orodha ya viwanda Tanzania Bara ya mwaka 2015 kutoka  Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Mkoa wa Rukwa una takribani viwanda 950 huku viwanda vidogo sana 869 vyenye uwezo wa kuajiri watu kuanzia 1 hadi 4 vikichukua asilimia 91.5,  na viwanda vidogo 78 ambavyo ni sawa na asilimia 8.2 ,Viwanda vya kati 2 ambavyo ni sawa na asilimia 0.2 na kiwanda kikubwa  1.  

Serikali Mkoani Rukwa imefanya kikao na wadau wa sekta ya viwanda mkoani humo ili kuzungumzia namna ya kuziimarisha fursa zilizopo katika Mkoa na hatimae kuwavutia wawekezaji kutoka mikoani na nje ya nchi kuwekeza katika mkoa Ili kufuikia azma ya serikali ya awamu ya tano ya Tanzania ya Viwanda.

Matangazo

  • Hotuba ya Bajeti ya WN -OR TAMISEMI 2022/23 April 20, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Kodi kwa Maendeleo September 15, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Sensa

    July 10, 2022
  • Maandalizi ya Sensa Rukwa

    July 08, 2022
  • Maandalizi ya Sensa Rukwa

    July 08, 2022
  • Chanjo Polio

    May 18, 2022
  • Angalia Zote

Video

RC Mkirikiti akabidhiwa Ofisi Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0764902066

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa