• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Jazia kupunguza uhaba wa Dawa Rukwa

imewekwa Tar: October 30th, 2018

Serikali kupitia ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imeanzisha mfumo wa Jazia Prime vendor kwaajili ya kupata dawa na vifaa tiba pale vinapokosekana katika Bohari ya Dawa (MSD), mfumo ambao unakuwa na mzabuni mmoja atakayesambaza dawa na vifaa tiba ndani ya mkoa mzima.

Kupitia utaratibu huo Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Rukwa kupitia katibu tawala wa mkoa Bernard Makali wamewekeana saini na mzabuni ambaye ni kampuni ya Maranatha Pharmacy Ltd,  atakayesambaza dawa na vifaa tiba hivyo kuanzia katika ngazi ya zahanati katika halmashauri nne za mkoa, ili kuongeza upatikanaji wake.  

Akifungua hafla hiyo fupi ya kuwekeana saini mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amesema kuwa mfumo huo utawezesha na kuongeza upatikanaji wa dawa na vifaa tiba muhimu pale ambapo vitakuwa havipatikani MSD

“Mfumo huu unaendeshwa kwa kumlipa mzabuni fedha mara tu baada ya vituo husika kuchukua dawa na vifaa tiba na si kwa mkopo. Maana yake vituo vya kutolea huduma za afya vinatakiwa kuhakikisha vina fedha kabla ya kupeleka mahitaji yao kwa mzabuni,” Alisema.

Aidha alitoa wito kwa wakurugenzi wa halmashauri kuhakikisha wanasimamia vyema mapato na matumizi ya fedha kutoka katika vyanzo mbalimbali kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na kuhakikisha fedha zilizotengwa kwaajili ya ununuzi wa dawa na vifaa tiba zinatumika kwa mujibu wa miongozo iliyopo.

Kwa upande wake mkurugenzi wa Maranatha Pharmacy Ltd alisema kuwa anaishukuru serikali kwa kuiamini kampuni yake ambayo hadi sasa imeingia mikataba na mikoa ya Iringa, Ruvuma, Mbeya pamoja na Rukwa ambapo mara ya mwisho kufanya kazi na serikali ilikuwa mwaka 2006 wakati ambao mifumo ilikuwa haiku sawa.

Mbali na kutoa huduma kwa wananchi wa mkoa mfumo huu unatarajiwa kuboresha huduma kwa wazee, ambapo mkoa una jumla ya wazee 14,832 waliopatiwa vitambulisho vya kupatiwa matibabu bure.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa