• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI RUKWA LAPOKEA MAGARI MATATU YA KISASA KUIMARISHA SHUGHULI ZA UOKOAJI

imewekwa Tar: October 27th, 2025


Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Rukwa limepatiwa magari matatu mapya ya kisasa kwa lengo la kuimarisha uwezo wake wa kukabiliana na majanga ya moto na kuimarisha huduma za uokoaji.

Uzinduzi wa magari hayo umefanywa na Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro Nyerere leo Oktoba 27, 2025 katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa.  


Kupatikana kwa magari hayo kunadhihirisha jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika kuboresha miundombinu na huduma za dharura nchini.

Serikali imeendelea kuimarisha sekta ya zimamoto na uokoaji kwa kuhakikisha vifaa vya kisasa vinapatikana, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kulinda maisha na mali za wananchi dhidi ya majanga mbalimbali.


Hatua hiyo inatarajiwa kuongeza kasi na ufanisi katika kutoa huduma za dharura katika maeneo yote ya Mkoa wa Rukwa.


Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa ameelekeza Halmashauri zote za Mkoa wa Rukwa kuhakikisha zinatenga maeneo maalum kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya kudumu vya zimamoto.  Aidha, ameagiza elimu ya kujikinga na majanga ya moto itolewe kwa wananchi kuhusu namna ya kuchukua tahadhari za mapema.


Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa amelitaka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kutumia magari hayo kwa uadilifu na akisisitiza matunzo bora.


Wananchi waliohudhuria uzinduzi huo wameipongeza na kuishukuru Serikali kwa kuiimarisha Zimamoto mkoani Rukwa.


Kupatikana kwa magari mapya ya zimamoto kunatarajiwa kuongeza ufanisi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji katika Mkoa wa Rukwa, na hivyo kuboresha zaidi huduma za dharura na usalama wa wananchi kwa ujumla.

Matangazo

  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA WA RUKWA ATOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29, 2025

    October 27, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI RUKWA LAPOKEA MAGARI MATATU YA KISASA KUIMARISHA SHUGHULI ZA UOKOAJI

    October 27, 2025
  • SERIKALI YATOA PIKIPIKI KWA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WA HALMASHAURI RUKWA

    October 24, 2025
  • MBIO ZA MWENGE ZAENDELEA KALAMBO RUKWA, MIRADI YA MAENDELEO YAENDELEA KUMULIKWa

    September 30, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa