• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Kaimu Balozi wa Marekani aahidi kusaidia kupambana na Udumavu Rukwa.

imewekwa Tar: October 6th, 2018

Kaimu balozi wa Marekani nchini Tanzania Inmi Patterson amesikitishwa na hali mbaya ya udumavu iliyopo katika mkoa wa Rukwa na kuahidi namna ya kusaidia kupunguza udumavu huo uliopo ili kuokoa maisha ya watoto na hatimae kuwa na kizazi chenye akili ili kuifikia Tanzania ya viwanda ifikapo mwaka 2025.

Inmi amesema kuwa siku 1000 za mwanzo ni muhimu sana kwa mtoto mdogo katika kujenga afya ya mwili na akili na endapo mtoto huyo atakosa chakula bora katika siku hizo basi itakuwa ni hasara kwa mtoto lakini kwa taifa pia.

“Kuna maneno mawili ya Kiswahili siyapendi; UDUMAVU na UTAPIAMLO, nchini Tanzania haipendezi kuwa na udumavu na utapiamlo kwasababu chakula kipo cha kutosha, udumavu ni uhalifu, sisi sote tuna wajibu wa kufanya kazi pamoja kupunguza udumavu mpaka sifuri, huu udumavu unaiumiza sana,” Alisema

Kwa upnde wake mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amesema kuwa Halmashauri kwa kushirikiana na serikali ya mkoa wanao mpango kabambe wa kuhakikisha kuwa udumavu huo unapungua kama sio kuisha kabisa na kutanguliza shukrani kwa kaimu balozi juu ya fikra yake ya kutaka kuusaidia mkoa wa Rukwa kuondokana na udumavu kabisa.

Hali ya udumavu kitaifa ni asilimia 34 na katika mkoa wa Rukwa ni asilimia 56.3.

Halikadhalika kaimu Balozi huyo alisifu serikali ya mkoa wa Rukwa kwa kupambana na kupunguza maambukizi ya kiwango kutoka asilimia 6.2 mpaka asilimia 4.4 na kuwaomba wajitahidi hadi kufikia asilimia 0.  

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa