• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Kamati ya Amani Rukwa yamuomba RC kufikisha salamu zao kwa Rais Magufuli.

imewekwa Tar: January 22nd, 2021

Mwenyekiti wa Kamati ya Amani Mkoani Rukwa Askofu Ambele Mwaipopo wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Ziwa Tanganyika Mikoa ya Rukwa na Katavi amemuomba Mkuu wa Mkoa huo Mh. Joachim Wangabo kufikisha salamu za pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa kupita kwa kishindo katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 pamoja na kuiongoza vuzuri nchi ya Tanzania.

Akizungumza hayo kwa niaba ya Kamati hiyo iliyofanya uchaguzi wake na kupata viongozi wapya Askofu Mwaipopo alisema kuwa viongozi wa dini wanaimani naye kwa yale aliyoyaonesha katika kipindi cha awamu hya kwanza ya uongozi wake na kuendeleza katika kipindi cha awamu yake ya pili.

“Sisi viongozi wa dini tuna Imani nay eye kabisa kwa yale ambayo ameyaonesha kwa kipindi kile cha kwanza na jinsi wanavyokwenda katika uongozi huu naona wameanza vizuri n ani mengi wala hatusemi semi maneno tu, kama viongozi wa dini tunaona Tanzania yetu ikikimbia hasa hta kufikia uchumi wa kati jambo ambalo limemfurahisha kila mmoja wetu,” Alisema.

Aidha wakati akitoa nasaha zake kwa viongozi hao wa dini kabla ya uchaguzi wa uongozi mpya wa Kamati ya Amani mkoani humo Mkuu huyo wa mkoa amewaomba viongozi hao wa dini kuendeleza mshikamano baina yao ili kuirahisishia serikali kuweza kushirikiana nao katika masuala ya msingi ya kiutawala na hatimae nchi iendelee kubaki na amani.

Mh. Wangabo alisema kuwa Pamoja na kuwa dini hizo zina itikadi tofauti za kiimani lakini wote wanamuabudu Mwenyezi Mungu na hivyo inawapasa kuwa Pamoja kwa mambo yale ambayo yanaonekana ni ya kushirikishana.

“Kwahiyo ni alzima na ninyi muwe kitu kimoja, muwe Pamoja, kwahiyo ninaposema serikali ishirikiane na viongozi wa dini kwa upande mmoja na upande wa pili viongozi wa dini wenyewe kwa wenyewe muwe na ushirikiano wa kustosha, hapo tutafika, kama hakuna ushirikiano wa ninyi viongozi wa dini, sasa mtashirikianaje na serikali? Huo ushirikiano utakuwa ni mgumu utakuwa ni kitendawili,” Alihoji.

Katika hiyo ya Amani inaongozwa na aliyechaguliwa kuwa Mwenyekiti Askofu Ambele Mwaipopo wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Ziwa Tanganyika Mikoa ya Rukwa na Katavi, Makamu Mwenyekiti ni Shekh Rashid Akilimali, Shekh wa Mkoa wa Rukwa kutoka Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Katibu ni Mchungaji Emanuel Sikazwe wa Kanisa la Monravian Sumbawanga Pamoja na Katibu Msaidizi Ustadh Mohamed Adam kutoka BAKWATA.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa