• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Kamati ya Amani Rukwa yamuomba RC kufikisha salamu zao kwa Rais Magufuli.

imewekwa Tar: January 22nd, 2021

Mwenyekiti wa Kamati ya Amani Mkoani Rukwa Askofu Ambele Mwaipopo wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Ziwa Tanganyika Mikoa ya Rukwa na Katavi amemuomba Mkuu wa Mkoa huo Mh. Joachim Wangabo kufikisha salamu za pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa kupita kwa kishindo katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 pamoja na kuiongoza vuzuri nchi ya Tanzania.

Akizungumza hayo kwa niaba ya Kamati hiyo iliyofanya uchaguzi wake na kupata viongozi wapya Askofu Mwaipopo alisema kuwa viongozi wa dini wanaimani naye kwa yale aliyoyaonesha katika kipindi cha awamu hya kwanza ya uongozi wake na kuendeleza katika kipindi cha awamu yake ya pili.

“Sisi viongozi wa dini tuna Imani nay eye kabisa kwa yale ambayo ameyaonesha kwa kipindi kile cha kwanza na jinsi wanavyokwenda katika uongozi huu naona wameanza vizuri n ani mengi wala hatusemi semi maneno tu, kama viongozi wa dini tunaona Tanzania yetu ikikimbia hasa hta kufikia uchumi wa kati jambo ambalo limemfurahisha kila mmoja wetu,” Alisema.

Aidha wakati akitoa nasaha zake kwa viongozi hao wa dini kabla ya uchaguzi wa uongozi mpya wa Kamati ya Amani mkoani humo Mkuu huyo wa mkoa amewaomba viongozi hao wa dini kuendeleza mshikamano baina yao ili kuirahisishia serikali kuweza kushirikiana nao katika masuala ya msingi ya kiutawala na hatimae nchi iendelee kubaki na amani.

Mh. Wangabo alisema kuwa Pamoja na kuwa dini hizo zina itikadi tofauti za kiimani lakini wote wanamuabudu Mwenyezi Mungu na hivyo inawapasa kuwa Pamoja kwa mambo yale ambayo yanaonekana ni ya kushirikishana.

“Kwahiyo ni alzima na ninyi muwe kitu kimoja, muwe Pamoja, kwahiyo ninaposema serikali ishirikiane na viongozi wa dini kwa upande mmoja na upande wa pili viongozi wa dini wenyewe kwa wenyewe muwe na ushirikiano wa kustosha, hapo tutafika, kama hakuna ushirikiano wa ninyi viongozi wa dini, sasa mtashirikianaje na serikali? Huo ushirikiano utakuwa ni mgumu utakuwa ni kitendawili,” Alihoji.

Katika hiyo ya Amani inaongozwa na aliyechaguliwa kuwa Mwenyekiti Askofu Ambele Mwaipopo wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Ziwa Tanganyika Mikoa ya Rukwa na Katavi, Makamu Mwenyekiti ni Shekh Rashid Akilimali, Shekh wa Mkoa wa Rukwa kutoka Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Katibu ni Mchungaji Emanuel Sikazwe wa Kanisa la Monravian Sumbawanga Pamoja na Katibu Msaidizi Ustadh Mohamed Adam kutoka BAKWATA.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa