• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Kamati ya Amani Rukwa yamuomba RC kufikisha salamu zao kwa Rais Magufuli.

imewekwa Tar: January 22nd, 2021

Mwenyekiti wa Kamati ya Amani Mkoani Rukwa Askofu Ambele Mwaipopo wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Ziwa Tanganyika Mikoa ya Rukwa na Katavi amemuomba Mkuu wa Mkoa huo Mh. Joachim Wangabo kufikisha salamu za pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa kupita kwa kishindo katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 pamoja na kuiongoza vuzuri nchi ya Tanzania.

Akizungumza hayo kwa niaba ya Kamati hiyo iliyofanya uchaguzi wake na kupata viongozi wapya Askofu Mwaipopo alisema kuwa viongozi wa dini wanaimani naye kwa yale aliyoyaonesha katika kipindi cha awamu hya kwanza ya uongozi wake na kuendeleza katika kipindi cha awamu yake ya pili.

“Sisi viongozi wa dini tuna Imani nay eye kabisa kwa yale ambayo ameyaonesha kwa kipindi kile cha kwanza na jinsi wanavyokwenda katika uongozi huu naona wameanza vizuri n ani mengi wala hatusemi semi maneno tu, kama viongozi wa dini tunaona Tanzania yetu ikikimbia hasa hta kufikia uchumi wa kati jambo ambalo limemfurahisha kila mmoja wetu,” Alisema.

Aidha wakati akitoa nasaha zake kwa viongozi hao wa dini kabla ya uchaguzi wa uongozi mpya wa Kamati ya Amani mkoani humo Mkuu huyo wa mkoa amewaomba viongozi hao wa dini kuendeleza mshikamano baina yao ili kuirahisishia serikali kuweza kushirikiana nao katika masuala ya msingi ya kiutawala na hatimae nchi iendelee kubaki na amani.

Mh. Wangabo alisema kuwa Pamoja na kuwa dini hizo zina itikadi tofauti za kiimani lakini wote wanamuabudu Mwenyezi Mungu na hivyo inawapasa kuwa Pamoja kwa mambo yale ambayo yanaonekana ni ya kushirikishana.

“Kwahiyo ni alzima na ninyi muwe kitu kimoja, muwe Pamoja, kwahiyo ninaposema serikali ishirikiane na viongozi wa dini kwa upande mmoja na upande wa pili viongozi wa dini wenyewe kwa wenyewe muwe na ushirikiano wa kustosha, hapo tutafika, kama hakuna ushirikiano wa ninyi viongozi wa dini, sasa mtashirikianaje na serikali? Huo ushirikiano utakuwa ni mgumu utakuwa ni kitendawili,” Alihoji.

Katika hiyo ya Amani inaongozwa na aliyechaguliwa kuwa Mwenyekiti Askofu Ambele Mwaipopo wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Ziwa Tanganyika Mikoa ya Rukwa na Katavi, Makamu Mwenyekiti ni Shekh Rashid Akilimali, Shekh wa Mkoa wa Rukwa kutoka Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Katibu ni Mchungaji Emanuel Sikazwe wa Kanisa la Monravian Sumbawanga Pamoja na Katibu Msaidizi Ustadh Mohamed Adam kutoka BAKWATA.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI- RUKWA September 27, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 13, 2023
  • HOTUBA YA BAJETI YA TAMISEMI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 May 05, 2023
  • Bei ya Mbolea za Rukuzu kwa Wakulima August 31, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MIRADI YA BILIONI 56.7 YAKAGULIWA KALAMBO

    September 25, 2023
  • WITO KWA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WANAPATIWA CHANJO

    September 21, 2023
  • WITO KWA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WANAPATIWA CHANJO

    September 21, 2023
  • WAAGIZWA KUKAMILISHA MAANDALIZI YA CHANJO POLIO

    September 15, 2023
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0735019734

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa