• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

KAMATI YA SIASA YA MKOA WA RUKWA YATAKA USIMAMIZI MADHUBUTI MIRADI YA UJENZI

imewekwa Tar: July 25th, 2024

Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Rukwa ikiongozwa na Mheshimiwa Mwenyekti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa, Hajjat Silafu Jumbe Maufi imewataka Wakurugenzi wa Halmashauri Mkoani Rukwa kusimamia vyema miradi ya ujenzi katika maeneo yao.


Kamati hiyo imegiza hayo leo Julai 25, 2024 ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake ya ukaguzi wa utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya 2020-2025 katika Halmashauri za Mkoa wa Rukwa.


Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Rukwa amesema kuwa ili kupata miradi yenye ubora unaolingana na thamani ya fedha zinazotolewa na Serikali, Wakurugenzi wanatakiwa kuisimamia kwa karibu ikiwemo kuwawezesha wahandisi kuisimamia kwa karibu.


Akizungumza katika ziara hiyo Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere amesema amepokea maelekezo ya Chama cha Mapinduzi na kuahidi kuhakikisha Wakurugenzi wanatekeleza maagizo hayo.


Kamati ya Siasa imekagua miradi 6 yenye thamani ya shilingi Bilioni 23.6 katika Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Miradi iliyokaguliwa ni ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ya Kalumbaleza , ukamilishaji wa vyumba 4 vya madarasa Shule ya Sekondari Mazoka, ukarabati wa barabara ya Ntenzo – Muze – Kilyamatundu, ukamilishaji wa vyumba 4 vya Madarasa Shule ya Sekondari Zimba, Ununuzi wa Boti 2 za doria Ziwa Rukwa na ujenzi wa Skimu ya Umwagiliaji ya Ilemba.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa