• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Kata ya Mtowisa wapatiwa mipira na kikombe kuhamasisha michezo.

imewekwa Tar: June 19th, 2018

Diwani wa kata ya Mtowisa Edgar Malini amepongeza kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo kutimiza ahadi yake ya kutoa kikombe kimoja na mipira mitatu ili kuhamasisha michezo kwa vijana wa kata hiyo na hatimae kujiepusha na kujihusisha na madawa ya kulevya na vitendo vilivyo kinyume na maadili.

Mapema mwezi wa nne mwaka huu Mh. Wangabo alitoa ahadi hiyo alipotembelea miradi mbalimbali ya kimaendeleo katika kata hiyo ambayo inategemewa kujengwa hospitali ya Wilaya ya Sumbawanga na wananchi wake kwa kuipongeza serikali walitoa ekari tatu kwa jeshi la polisi kwaajili ya ujenzi wa  nyumba za watumishi wa jeshi hilo katika ukanda huo wa bonde la ziwa Rukwa.

“Wananchi wa kata yangu wanapenda michezo na kwakweli Mh. Mkuu wa Mkoa alipotoa ahadi ile wananchi kila siku walikuwa wakiniuliza lini mipira itakuja na hicho kikombe, nikawa nawaambia Mh. Mkuu wa Mkoa ni mtu wa kutimiza ahadi zake, hivyo mtulie mipira na kikombe kitakuja na hatimae nimekabidhiwa leo,” Malini alisema.

Mh. Wangabo alikabidhi vifaa hivyo kwa diwani huyo katika ofisi yake mbele ya mtendaji wa Kijiji cha kifinga, kata ya mtowisa na kuahidi kufuatilia maendeleo ya mashindano hayo.

“Vijana ndio nguvu kazi ya taifa letu, wao ndio wa kwanza katika songambele za ujenzi, ulinzi na kushiriki katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo, niliahidi kutoa vifaa hivi na leo hii nimekamilisha ahadi yang una mambo ya uratibishaji wa mashindano hayo nitamuachia diwani ila nitafuatilia maendeleo ya mashindano hayo,” Alisema.

Ameongeza kuwa vijana wanahitaji kuchangamka baada ya kuwajibika katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo na ili kuwaepusha na kujihusisha na kukiuka maadili ni vyema wakajihusisha na michezo ili kuimarisha afya zao na kudumisha umoja na ushirikiano katika maeneo yao wanayoishi.

Tarehe 7.4.2018 ndipo ahadi ilitolewa na vifaa hivyo kutolewa 18.6.2018.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa