• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Kijiji kilichoanzishwa ndani ya miaka minne chapata shule.

imewekwa Tar: November 17th, 2018

Wananchi wa kijiji cha Mayenge kilichopo Kata ya Milepa, Wilayani Sumbawanga wamemstaajabisha Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo baada ya kujenga madarasa manne, nyumba ya mwalimu, vyoo vitatu vyenye jumla ya matundu 16 huku wakibakisha jengo la utawala ili waanze kuwaandikisha wanafunzi na kuanza masomo.

Awali akisoma taarifa mmoja wa mjumbe wa kamati ya ujenzia wa shule hiyo James Kipeta alisema kuwa michango mbalimbali ya vifaa vya ujenzi waliyoipokea pamoja na shilingi milioni 11 fedha taslimu ndio iliyowafikisha katika hatua hiyo na kuongeza kuwa bado kuna ahadi za watu kadhaa bado wanazifuatilia ili kuweza kutia nguvu katika ujenzi huo.

“Pamoja na jitihada zote hizo bado tuna changamoto zifuatazo, madawati, jengo la utawala choo cha kudumu cha nyumba ya mwalimu na mwisho tunakushukuru kwa msaada wako wa mifuko 40 ya saruji uliyotuchangia ulipokuja tarehe 23.8.2018 nayo imetusaidia kufikia hapa.” Alisema

Katika kuhakikisha kasi ya ujenzi huo haisimami Mh. Wangabo aliwaagiza wale wote ambao walitoa ahadi zao za kusaidia vifaa vya ujenzi wa shule hiyo kuhakikisha wanatimiza ahadi zao ndani ya wiki mbili ili wananchi hao waweze kuendelea na ujenzi wa shule hiyo.

Miongoni mwa wadaiwa wa vifaa vya ujenzi wa shule hiyo ni pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga anayedaiwa mifuko 10 ya saruji , katibu tawala wa mkoa anadaiwa mifuko 15 ya saruji pamoja na Mkuu wa Mkoa mwenyewe anayedaiwa mifuko 10.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa