• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Kijiji kilichoanzishwa ndani ya miaka minne chapata shule.

imewekwa Tar: November 17th, 2018

Wananchi wa kijiji cha Mayenge kilichopo Kata ya Milepa, Wilayani Sumbawanga wamemstaajabisha Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo baada ya kujenga madarasa manne, nyumba ya mwalimu, vyoo vitatu vyenye jumla ya matundu 16 huku wakibakisha jengo la utawala ili waanze kuwaandikisha wanafunzi na kuanza masomo.

Awali akisoma taarifa mmoja wa mjumbe wa kamati ya ujenzia wa shule hiyo James Kipeta alisema kuwa michango mbalimbali ya vifaa vya ujenzi waliyoipokea pamoja na shilingi milioni 11 fedha taslimu ndio iliyowafikisha katika hatua hiyo na kuongeza kuwa bado kuna ahadi za watu kadhaa bado wanazifuatilia ili kuweza kutia nguvu katika ujenzi huo.

“Pamoja na jitihada zote hizo bado tuna changamoto zifuatazo, madawati, jengo la utawala choo cha kudumu cha nyumba ya mwalimu na mwisho tunakushukuru kwa msaada wako wa mifuko 40 ya saruji uliyotuchangia ulipokuja tarehe 23.8.2018 nayo imetusaidia kufikia hapa.” Alisema

Katika kuhakikisha kasi ya ujenzi huo haisimami Mh. Wangabo aliwaagiza wale wote ambao walitoa ahadi zao za kusaidia vifaa vya ujenzi wa shule hiyo kuhakikisha wanatimiza ahadi zao ndani ya wiki mbili ili wananchi hao waweze kuendelea na ujenzi wa shule hiyo.

Miongoni mwa wadaiwa wa vifaa vya ujenzi wa shule hiyo ni pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga anayedaiwa mifuko 10 ya saruji , katibu tawala wa mkoa anadaiwa mifuko 15 ya saruji pamoja na Mkuu wa Mkoa mwenyewe anayedaiwa mifuko 10.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI October 24, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA - MAPOKEZI YA FEDHA KIASI CHA SHILINGI BILIONI 3.8 KWA AJILI YA SEKTA YA AFYA October 05, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI- RUKWA September 27, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 13, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • UMOJA NA MSHIKAMANO SILAHA ZA MAFANIKIO MIAKA 62 YA UHURU

    December 09, 2023
  • MAKONGORO AWATAKA WADAU KUILIPA TEMESA KWA WAKATI

    November 21, 2023
  • MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA; WANAFUNZI RUKWA KUGAWIWA VYANDARUA

    October 19, 2023
  • MAKONGORO ATAKA MIRADI IKAMILIKE KABLA YA OKTOBA 30, 2023.

    October 18, 2023
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0735019734

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa