• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE ATAKA MKAZO ELIMU YA LISHE RUKWA

imewekwa Tar: September 8th, 2024



Nkasi, Rukwa –


Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2024, Ndg. Godfrey Mnzava, amewataka Maafisa Lishe mkoani Rukwa kuongeza mkazo wa utoaji wa elimu ya lishe kwa wananchi.


Agizo hilo limetolewa leo Septemba 8, 2024 katika kijiji cha Kantawa, wilayani Nkasi, wakati wa ukaguzi wa shughuli za Maadhimisho ya Siku ya Lishe.


Kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 amesisitiza kuwa uhamasishaji wa lishe bora kwa wananchi vijijini ni muhimu ili kupunguza kiwango cha udumavu kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.


Naye Afisa Lishe wa Wilaya ya Nkasi ameeleza kuwa udumavu ni changamoto inayotokana na ukosefu wa uelewa wa kutosha kuhusu lishe bora miongoni mwa wananchi na kwamba Wilaya ya Nkasi imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha elimu inafika kwa wananchi.


Takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa takribani nusu ya watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano mkoani Rukwa wanakabiliwa na tatizo la udumavu huku kiwango cha udumavu kikitajwa kufikia asilimia 49.


Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 ametoa wito kwa Serikali za Mitaa kushirikiana na maafisa lishe na mashirika mbalimbali kuhakikisha elimu ya lishe inawafikia wananchi kwa ufanisi ili kupunguza tatizo la udumavu.


Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 zimeingia siku yake ya 4 Mkoani Rukwa. Awali Mwenge wa Uhuru ulikimbizwa katika Halmashauri za Wilaya ya Sumbawanga, Kalambo, Manispaa ya Sumbawanga kabla ya kuingia Nkasi.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa