• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

KIWANJA CHA NDEGE SUMBAWANGA KUKAMILIKA MACHI 2025

imewekwa Tar: October 2nd, 2023


Mkandarasi Beijing Construction Engineering Company Ltd ametakiwa kukamilisha kazi ya ujenzi wa kiwanja cha Ndege Sumbawanga kabla au ifikapo Machi 2025.

Maelekezo hayo yametolewa Oktoba 2, 2023 na Naibu Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Godfrey Kasekenya alipofanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya ujenzi inayosimamiwa na TANROADS Mkoani Rukwa.

Miradi iliyokaguliwa katika ziara hiyo ni pamoja na ujenzi unaoendelea wa kiwanja cha ndege Sumbawanga na miradi ya ujenzi wa barabara za Ntendo- Kizungu na Matai- Kasesya.

Akitoa maelekezo kwa Mkandarasi, Mheshimiwa Naibu Waziri amesema kuwa kiwanja hicho ni muhimu kwa maendeleo ya sekta ya usafiri na uchukuzi na kimesubiriwa kwa muda mrefu na wakazi wa Mkoa wa Rukwa. Amemtaka Mkandarasi kukamilisha kazi zote kwa ubora ndani ya muda wa mkataba.

Maboresho yanayofanyika katika kiwanja cha ndege cha Sumbawanga ni pamoja na ujenzi wa njia ya kuruka na kutua ndege (runway) yenye urefu wa Km 1.75, ujenzi wa barabara ya kiungio (taxiway) na ujenzi wa maegesho ya ndege( apron).

Mengine ni ujenzi wa jengo la abiria (terminal building), usimikaji wa mifumo ya taa za kuongozea ndege (airfield ground lighting system) pamoja na alama
(aerodrome signage).

Pamoja na kazi hizo Mkandarasi atafanya ujezi wa uzio wa usalama na barabara za kuzunguka uzio wa uwanja na ujenzi wa jengo la kuongozea ndege( Air Traffic Control Tower).

Akiongea kwa niaba ya wananchi wa Mkoa wa Rukwa Mheshimiwa Apolinary Simon Macheta Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Sumbawanga amemshukuru Mheshimiwa Rais kwa kutenga fedha kwa ajili ya upanuzi wa kiwanja cha ndege cha Sumbawanga, akieleza kuwa kitakuwa na manufaa makubwa kwa Mkoa wa Rukwa kwa kuwa kitachochea ukuaji wa uchumi.

Maboresho ya kiwanja hicho cha ndege yatagharimu kiasi cha Tsh Bilioni 55.9

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI 2025 January 10, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE 2025 January 10, 2026
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa