• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

KIWANJA CHA NDEGE SUMBAWANGA KUKAMILIKA MACHI 2025

imewekwa Tar: October 2nd, 2023


Mkandarasi Beijing Construction Engineering Company Ltd ametakiwa kukamilisha kazi ya ujenzi wa kiwanja cha Ndege Sumbawanga kabla au ifikapo Machi 2025.

Maelekezo hayo yametolewa Oktoba 2, 2023 na Naibu Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Godfrey Kasekenya alipofanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya ujenzi inayosimamiwa na TANROADS Mkoani Rukwa.

Miradi iliyokaguliwa katika ziara hiyo ni pamoja na ujenzi unaoendelea wa kiwanja cha ndege Sumbawanga na miradi ya ujenzi wa barabara za Ntendo- Kizungu na Matai- Kasesya.

Akitoa maelekezo kwa Mkandarasi, Mheshimiwa Naibu Waziri amesema kuwa kiwanja hicho ni muhimu kwa maendeleo ya sekta ya usafiri na uchukuzi na kimesubiriwa kwa muda mrefu na wakazi wa Mkoa wa Rukwa. Amemtaka Mkandarasi kukamilisha kazi zote kwa ubora ndani ya muda wa mkataba.

Maboresho yanayofanyika katika kiwanja cha ndege cha Sumbawanga ni pamoja na ujenzi wa njia ya kuruka na kutua ndege (runway) yenye urefu wa Km 1.75, ujenzi wa barabara ya kiungio (taxiway) na ujenzi wa maegesho ya ndege( apron).

Mengine ni ujenzi wa jengo la abiria (terminal building), usimikaji wa mifumo ya taa za kuongozea ndege (airfield ground lighting system) pamoja na alama
(aerodrome signage).

Pamoja na kazi hizo Mkandarasi atafanya ujezi wa uzio wa usalama na barabara za kuzunguka uzio wa uwanja na ujenzi wa jengo la kuongozea ndege( Air Traffic Control Tower).

Akiongea kwa niaba ya wananchi wa Mkoa wa Rukwa Mheshimiwa Apolinary Simon Macheta Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Sumbawanga amemshukuru Mheshimiwa Rais kwa kutenga fedha kwa ajili ya upanuzi wa kiwanja cha ndege cha Sumbawanga, akieleza kuwa kitakuwa na manufaa makubwa kwa Mkoa wa Rukwa kwa kuwa kitachochea ukuaji wa uchumi.

Maboresho ya kiwanja hicho cha ndege yatagharimu kiasi cha Tsh Bilioni 55.9

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa