• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

KONGAMANO LA WAMACHINGA LAFANYIKA RUKWA

imewekwa Tar: June 12th, 2024



Kongamano la Shirikisho la Machinga Tanzania(SHIUMA) limefanyika katika Ukumbi wa Nazareth Mkoani Rukwa leo tarehe 12 Juni 2024. Lengo la Kongamano hilo ni kumpongeza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutenga Shilingi Bilioni 18.5 kwa ajili ya mikopo kwa wajasiriamali hao nchi nzima.


Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Nyakia Ally Chirukile amemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere katika kongamano hilo ambalo limeenda sambamba na uzinduzi wa Ofisi ya Umoja wa Machinga Mkoa wa Rukwa iliyoko Mtaa wa Florida Kata ya Katandala, Manispaa ya Sumbawanga na uzinduzi wa Soko jipya la mazao lilipo Mandela.


Akizungumza katika tukio hilo Mheshimiwa Chirukile ameleza kuwa Serikali Mkoani Rukwa imesaini Mkataba wa Soko la Kimataifa la mazao ya nafaka litakalojengwa Mtaa wa Kanondo Manispaa ya Sumbawanga.


Aidha Mheshimiwa Chirukile ameongeza kuwa katika kupanua wigo kwa wafanyabiashara kitaifa na kimataifa Serikali inaendelea na ukarabati wa Kiwanja cha ndege cha Sumbawanga kwa zaidi ya Bilioni 60.1 ambapo pia ameelekeza kujengwa kwa chumba maalum cha uhifadhi ili kuwezesha utunzaji na usafirishaji mbogamboga nje ya Mkoa.


Awali akizungumza kwa niaba ya Umoja wa Machinga na Wajasiriamali Mkoa wa Rukwa Thobias Mgalla ambaye ni Katibu wa umoja huo ametoa pongezi kwa Mheshimiwa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa mkopo utakaosaidia kuinua uchumi wa wajasiriamali Mkoani hapa.


Kongamano hilo limehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Mbunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini Mheshimiwa Aeshi Khalfan Hilal, Mheshimiwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Hajjat Silafu Jumbe Maufi na Mwenyekiti wa Shirikisho la Machinga Tanzania Bw. Ernest Matondo Masanja.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa