• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Korona Ipo Tuendelee Kuchanja

imewekwa Tar: December 7th, 2021

KORONA IPO TUENDELEE KUCHANJA- RC RUKWA

Wananchi wa Namanyele wilaya ya Nkasi wamehamasishwa kuendelea kujitokeza kupata chanjo ya kinga dhidi ya ugonjwa wa korona ili waepuke kuambukizwa .

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti jana (06.12.2021) kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kitongoji cha Posta Namanyele mjini ambapo amewaeleza wananchi hao kuwa ugonjwa wa korona unaendelea kusambaa na kusababisha vifo.

“Fanya maamuzi sasa ya kwenda kuchanja ili ujiepushe na ugonjwa wa korona ambao upo na unaendelea kuangamiza watu kote ulimwenguni. Tuchanje  ili kujikinga na gojwa hili  ambapo serikali imetoa chanjo bure kwa watu wote” alisema Mkirikiti.

Mkirikti aliongeza kusema pamoja na kuchanja wananchi waendelee kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono kwa maji tiririka na pia kuhakikisha mazingira yao yanakuwa safi na kula vyakula bora ili kujikinga na magonjwa mengine ya mlipuko.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kitongoji cha Posta kata ya Isunta Namanyele Editha Msoma alisema yeye tayari amechanja na hakupata madhara yoyote hivyo akawasihi wananchi wengine kuendelea kupata chanjo hiyo inayotolewa bure kwenye vituo vyote vya kutolea huduma za afya Nkasi.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Peter Lijuakali alisema wataalam wa afya wanaendelea kutoa huduma za chanjo ya UVIKO-19 kote wilayani humo na kuwa ni vema wananchi wakajitokeza kupata huduma hiyo.

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa kwa kushirikiana na Shirika la Walter Reed (HJMFRI) wanaotekeleza kampeni ya kuhamasisha wananchi kujitokeza kupata chanjo ambapo magari maaalum ya hamasa na wataalam wanapita vijijini kwa kazi hiyo.

Mwisho.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa