• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Korona Ipo Tuendelee Kuchanja

imewekwa Tar: December 7th, 2021

KORONA IPO TUENDELEE KUCHANJA- RC RUKWA

Wananchi wa Namanyele wilaya ya Nkasi wamehamasishwa kuendelea kujitokeza kupata chanjo ya kinga dhidi ya ugonjwa wa korona ili waepuke kuambukizwa .

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti jana (06.12.2021) kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kitongoji cha Posta Namanyele mjini ambapo amewaeleza wananchi hao kuwa ugonjwa wa korona unaendelea kusambaa na kusababisha vifo.

“Fanya maamuzi sasa ya kwenda kuchanja ili ujiepushe na ugonjwa wa korona ambao upo na unaendelea kuangamiza watu kote ulimwenguni. Tuchanje  ili kujikinga na gojwa hili  ambapo serikali imetoa chanjo bure kwa watu wote” alisema Mkirikiti.

Mkirikti aliongeza kusema pamoja na kuchanja wananchi waendelee kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono kwa maji tiririka na pia kuhakikisha mazingira yao yanakuwa safi na kula vyakula bora ili kujikinga na magonjwa mengine ya mlipuko.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kitongoji cha Posta kata ya Isunta Namanyele Editha Msoma alisema yeye tayari amechanja na hakupata madhara yoyote hivyo akawasihi wananchi wengine kuendelea kupata chanjo hiyo inayotolewa bure kwenye vituo vyote vya kutolea huduma za afya Nkasi.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Peter Lijuakali alisema wataalam wa afya wanaendelea kutoa huduma za chanjo ya UVIKO-19 kote wilayani humo na kuwa ni vema wananchi wakajitokeza kupata huduma hiyo.

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa kwa kushirikiana na Shirika la Walter Reed (HJMFRI) wanaotekeleza kampeni ya kuhamasisha wananchi kujitokeza kupata chanjo ambapo magari maaalum ya hamasa na wataalam wanapita vijijini kwa kazi hiyo.

Mwisho.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa