• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Maafisa Tarafa Simamieni Mapato ya Ndani ya Halmashauri

imewekwa Tar: October 28th, 2021

WATENDAJI KATA NA MAAFISA TARAFA SIMAMIENI MAPATO YA HALMASHAURI- RC MKIRIKITI

Maafisa Watendaji wa Kata pamoja na Maafisa Tarafa wa Mkoa wa Rukwa wametakiwa kutambua kuwa wanalo jukumu la kusimamia ukusanyaji na matumizi ya fedha zitokanazo na mapato ya ndani kwenye halmashauri.

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti ametoa maelekezo hayo leo (28.10.2021) wakati alipofanya mkutano na Maafisa Tarafa wote wa mkoa wa Rukwa na Maafisa Watendaji wa Kata mjini Sumbawanga na kuwasisitiza kudhibiti mianya ya upotevu wa fedha toka kwa vyanzo mbalimbali.

Aliwataka watendaji pia hao wa kata na tarafa kuelimisha wananchi kujitokeza kupata chanjo ya kinga dhidi ya ugonjwa wa korona na pia kuhamasisha wananchi kujiandaa kwa zoezi la sensa ya watu na  makazi itakayofanyika mwaka 2022.

Akizungumza kuhusu umuhimu wa chanjo ya UVIKO-19 Mganga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Dkt. Boniface Kasululu, aliwataka watendaji hao kuwa mstari wa mbele kwa wao binafsi kuchanja kisha  kuhamasisha wale ambao bado hajawachanja.

Dkt. Kasululu aliongeza kusema mkoa umepokea dozi 24,183 za chanjo ya UVIKO-19 awamu ya pili aina ya Sinopharm ambapo kazi ya kuhamasisha wananchi imeanza hivyo amewataka watendaji hao kushiriki kwenye zoezi hilo pamoja na wataalam wa afya kwenye maeneo yao.

Naye Afisa Utumishi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Rukwa Sabina Songela akitoa mada kuhusu majukumu na wajibu wa Maafisa Tarafa na Watendaji wa Kata alisema wanalo jukumu la kusimamia suala la upatikanaji huduma kwa wananchi ili kuleta ustawi na  amani kwenye maeneo yao.

Mkutano huo wa Maafisa Tarafa toka tarafa zote 19 za Mkoa wa Rukwa na Maafisa Watendaji Kata toka kata 20 za Manispaa ya Sumbawanga ni kwanza tangu Mkuu huyo wa Mkoa alipoteuliwa kuongoza mkoa wa Rukwa hapo mwezi Mei mwaka huu na ulilenga kuwakumbusha wajibu wao kwenye utekelezaji wa majukumu ya serikali.

Mwisho.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa