• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

MAKONGORO ATAKA MATOKEO YA SENSA YATUMIKE KATIKA KUPANGA NA KUTOA HUDUMA KWA WANANCHI

imewekwa Tar: August 20th, 2024



Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro Nyerere ametaka matokeo ya Sensa 2022 yatumike katika kupanga na kutoa huduma kwa wananchi.


Mheshimiwa Makongoro ameyasema hayo leo Agosti 20, 2024 katika ukumbi wa Nazareth mjini Sumbawanga alipokuwa akifungua mafunzo ya usambazaji na uhamasishaji matumizi ya matokeo ya Sensa 2022 kwa Viongozi na Watendaji wa Mkoa wa Rukwa.


Mkuu wa Mkoa amesema lengo la Sensa duniani kote ni kupata takwimu za msingi za watu na hali zao za makazi ili zitumike kufanya maamuzi, kutunga sera, kupanga na kufuatilia mipango ya utekelezaji. Ametaka viongozi na watendaji wa Mkoa wa Rukwa kufanya matumizi sahihi ya takwimu hizo kwa ajili ya maendeleo ya watu.


Akihitimisha hotuba yake ya ufunguzi wa mafunzo hayo Mheshimiwa Makongoro ametoa maelekezo kuwa matokeo ya Sensa 2022 yasambazwe na kubandikwa katika ofisi za Kata, Vijiji, Vitongoji na Mitaa.


Maelekezo mengine yaliyotolewa ni pamoja na Wakurugenzi wa Halmashauri kufanya matokeo ya Sensa na matumizi ya takwimu hizo kuwa agenda ya kudumu katika vikao vya Halmashauri.


Aidha Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ameeleza kuwa zoezi la anuani za makazi ni endelevu na hivyo kutaka kuwekwa kwa mipango ya uendelezaji wa zoezi hilo.


Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa amehitimisha hotuba yake kwa kusisitiza umuhimu wa kupokelewa kwa maoni ya wananchi katika kipindi ambacho maandalizi ya Dira ya Maendeleo 2050 yanaendelea.


Semina hiyo imehudhuriwa na timu ya maafisa kutoka Ofisi ya Takwimu ya Taifa ikiongozwa na Bw. Oscar Mangula

Mwakilishi wa Mtakwimu Mkuu wa Serikali ambaye amekabidhi ramani ya Mkoa wa Rukwa na Halmashauri inayoonesha idadi ya watu kulingana na matokeo ya Sensa 2022 itakayotumika kama mwongozo katika upangaji wa maendeleo na kufanya maamuzi katika Mkoa wa Rukwa

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa