• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

“Malezi bora ndio chanzo cha Amani na utulivu katika jamii” – RC Wangabo

imewekwa Tar: November 4th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameusisitiza umoja wa wazee mkoani Rukwa kuendelea kuhimiza malezi bora katika jamii ili kujiepusha na uvunjifu wa amani unaofanywa na vijana hao pindi wasiposimamiwa vizuri katika makuzi yao.

Amesema kuwa uhalifu mwingi unaoendelea katika maeneo mbalimbali ya nchi hufanywa na kundi la vijana ambao wamekosa usimamizi bora wa malezi ya jamii katika makuzi yao na hatimae hujihusisha na matukio yanayopelekea kuitikisa amani ya mji ama mkoa.

“Uhalifu mwingi nchini hufanywa na kundi la vijana sijawahi kusikia uhalifu umefanywa na kundi la wazee hata siku moja na yote hayo ni kukosa malezi bora kutoka kwenu wazee, kama wazee mlilelewa vizuri kwanini na hawa watoto, au mmewashindwa?” Aliuliza.

RC Wangabo ameyasema hayo alipofanya kikao na umoja wa wazee wa mkoa wa Rukwa pamoja na viongozi wa dini kilichofanyika katika ikulu ndogo Mkoani humo na kuwaeleza mikakati aliyonayo ikiwa ni pamoja na kuhakikisha amani na utulivu unaendelea kudumishwa katika mkoa.

Aidha, RC Wangabo amesisitiza kuwa vijana wamekuwa wakijifunza mambo mengi machafu kupitia simu za “smartphone” ikiwemo namna ya kufanya uhalifu na mambo yanayokwenda kinyume na maadili ya mtanzania.

Ameonya kuwa baadhi ya wazazi hutetea uovu wa watoto wao jambo linalowakatisha tamaa waalimu katika kujenga maadili ya wananfunzi ili kutengeneza viongozi bora katika jamii na kuongeza kuwa watoto wasio na maadili hushusha kasi ya ufaulu mashuleni.

RC Wangabo hakuacha kuwashauri wazee hao kuacha kujishughulisha na siasa za maandamano na badala yake wawe washauri wa vijana wanaotaka kuharibu amani ya nchi kupitia siasa

“Sidhani kama itakuwa ni heshima mzee umeshikwa ‘Tanganyika jeki’ na mtoto mdogo, huko ni kudhalilishwa, wazee mnatakiwa kuwa washauri wa hawa vijana wanaotumia siasa vibaya na matokeo yake kuharibu amani ya nchi,”

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa