• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Manispaa ya Sumbawanga imetakiwa kufikiria kuwa na kiwanda cha viatu.

imewekwa Tar: December 14th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameishauri Halmashauri ya manispaa ya Sumbawanga kuanza kufikiria kuwa na kiwanda cha viatu vya Ngozi ili kupunguza idadi ya viwanda 25 vipya walivyoagizwa kuwa navyo hadi kufikia Disemba 2018.

Mh. Wangabo ametoa ushauri huo baada ya kutembelea machinjio ya manispaa hiyo na kuona mzigo wa Ngozi za ng’ombe ukiwa umekosa soko na kuongeza kuwa soko la Ngozi hizo litaopatikana pale tu kiwanda kitakapooanza kufanya kazi na kuhakikisha wanashirikiana na shule kwaajili ya soko la viatu hivyo.

“Ngozi tunayo ndiyo malighafi, kiwanda kikowapi ili hii malighafi itumike, tuweke nguvu kubwa hapa kuanzisha kiwanda, Manispaa mna viwanda 25 mnatakiwa kuvianzisha hadi kufikia Disemba 2018, ikiwezekana mshirikiane na SIDO na wale wote wenye viwanda vidogo vinavyotumia malighafi ya Ngozi muwawezeshe ili tuweze kupanuka,” Alifafanua.

Machinjio hayo ambayo tangu mwezi July hadi Novemba 2017 wamechinja ng’ombe 3,807, mbuzi 1,211 na kondoo 98 na kuzalisha Ngozi zaidi ya 10,000 katika miezi 6 jambo linalowawezesha kuanzisha kiwanda kidogo kinakachopunguza idadi ya viwanda 25 walivyotakiwa kuanzisha kabla ya Disemba, 2018.

Nae Nae Afisa mifugo wa Manispaa ya Sumbawanga Nziku amesema kuwa machinjio hiyo ina uwezo wa kuchinja ng’ombe 50 na mbuzi na kondoo 10 kwa wakati mmoja lakini kwasasa inachinja ng’ombe 25 -30 na mbuzi na kondoo 5 – 10 kwa siku.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa