• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Mh. Lugola afanya “Tunatekeleza” katika gereza la Mollo, Sumbawanga.

imewekwa Tar: October 2nd, 2018

Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mh. Kangi Lugola ameamua kutumia gereza la Mollo lililopo kata ya Mollo, Sumbawanga mjini kufanya kipindi cha “Tunatekeleza” kinachorushwa na Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) kuonyesha utekelezaji wa agizo la rais Dkt. John Pombe Magufuli la kutaka magereza kuanza kujilisha.

Amesema kuwa anakwenda kwenye gereza hilo la Mollo ili kuwahabarisha watanzania yaliyofanywa na Wizara hiyo katika kipindi cha miaka mitatu ya utawala wa awamu ya tano chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli

“Gereza la Mollo ni gereza lenye ardhi nzuri na ya kutosha, lina ekari zaidi ya 12,000 ukilinganisha na magereza mengine Tanzania, gereza la Mollo linaweza kuwa ndio kitovu cha kuanzia huu uzalishaji, kukiwa na miundombinu na vitendea kazi vya kutosha,” Mh. Lugola alisema.

Mbali na nia yake ya kufanya kipindi hicho katika gereza hilo, alitumia nafasi ya uwepo wake katika mkoa wa Rukwa Kuzungumza na kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa na kugusia maeneo kadhaa ambayo alitoa tahadhari kwa kamati hiyo kuwa makini kutokana na kukuwa kwa kasi kwa Mji wa Sumbawanga na Mkoa kwa ujumla.

Miongoni mwa maeneo aliyoyagusia ni kuwasihi wananchi kuwa wepesi kushirikiana na vyombo vya usalama katika kutoa taarifa za kiuhalifu ili kuendelea kuuweka mji katika hali ya usalama na pia kuitaka Kamati ya Ulinzi na usalama kushughulikia malalamiko ya wananchi yanayotokana na kero za vyombo vya ulinzi na usalama.

“Malalmiko yafanyiwe kazi kuliko kusubiri sisi mawaziri kuja kutatua kero za maeneo haya, na maeneo ya msisitizo ni pamoja na wananchi kutobambikizwa kesi, wananchi kunyimwa dhamana ilhali wanamakosa ambayo yanadhaminika, na nimekemea mambo ya rushwa katika vyombo vya usalama na wananchi watoe taarifa za rushwa,” Alisisitiza.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa